Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Jamaa kakosea,baada ya msg kutuma kwa hawara katuma kwa mama mkwe! ilikuwa inasema,''Mi nakupenda nimevumilia nimeshindwa nimeona nikwambie ya moyoni,naomba tuwe wapenzi mke wangu hawezi kujua'''Wakati anatafakari atafanyaje jibu likaja kutoka kwa mama mkwe ''nami nakupenda,ungechelewa ningekwambia mimi,maana huwa ukiwa na mwanangu mi ndo nadata mpenzi,leo usiku uje'....dah