The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Inakuwaje wanaJF!
Ni miezi michache mwaka huu tu ilikuja kugundulika kumbe Bill Gates alilazimishwa kujiuzulu kwenye board ya Microsoft na kujikita zaidi katika faundesheni yake na aliyekuwa mke wake Melinda.
Sababu zenyewe za kumlazisha a jiuzulu ni nyepesi sana halafu za kipuuzi kwa mtazamo wangu eti alikuwa na utovu wa niamu kwa kuwatongoza, kuwanunulia zawadi na kutembea na wafanyakazi wa kike Microsoft na faundesheni yake. Sasa najiuliza aliwabaka? Jibu Hapana ni makubaliano tu.
Microsoft alianzisha yeye hadi ikafika ilipofika sasa hivi na sasa hivi ndio kampuni yenye thamani duniani imeipita hata Apple baada ya hisa za Epo kushuka. Halafu eti board inakaa chini inamlazimisha a jiuzulu kwenye kampuni yake aliyoianzisha mwenyewe. Hii kitu kweli ingeweza kutokea kwa Mengi? Au sasa hivi kwa Bakheresa ama MO?
Yani u amtongoze mtu mzima a akubali mnakubaliana huo ni utovu wa nidhamu kweli hadi unaachia ngazi kizembe kwenye kampuni uliyoanzisha, kufight hadi ilipo sasa hivi.
Wanadai angeshatimuliwa toka early 2002 sema kwa aliyekuwa mwenyekiti kiti wa board wakati huo John W Thompson alimkingia kifua nakutliza na kuwashawishi wana board wengine wapotezee na iwe siri 'due to the sensitivity of the matter'. Yani unakingiwa kifua kwenye kampuni yako? JW Thompson picha chini.
Ni miezi michache mwaka huu tu ilikuja kugundulika kumbe Bill Gates alilazimishwa kujiuzulu kwenye board ya Microsoft na kujikita zaidi katika faundesheni yake na aliyekuwa mke wake Melinda.
Sababu zenyewe za kumlazisha a jiuzulu ni nyepesi sana halafu za kipuuzi kwa mtazamo wangu eti alikuwa na utovu wa niamu kwa kuwatongoza, kuwanunulia zawadi na kutembea na wafanyakazi wa kike Microsoft na faundesheni yake. Sasa najiuliza aliwabaka? Jibu Hapana ni makubaliano tu.
Microsoft alianzisha yeye hadi ikafika ilipofika sasa hivi na sasa hivi ndio kampuni yenye thamani duniani imeipita hata Apple baada ya hisa za Epo kushuka. Halafu eti board inakaa chini inamlazimisha a jiuzulu kwenye kampuni yake aliyoianzisha mwenyewe. Hii kitu kweli ingeweza kutokea kwa Mengi? Au sasa hivi kwa Bakheresa ama MO?
Yani u amtongoze mtu mzima a akubali mnakubaliana huo ni utovu wa nidhamu kweli hadi unaachia ngazi kizembe kwenye kampuni uliyoanzisha, kufight hadi ilipo sasa hivi.
Wanadai angeshatimuliwa toka early 2002 sema kwa aliyekuwa mwenyekiti kiti wa board wakati huo John W Thompson alimkingia kifua nakutliza na kuwashawishi wana board wengine wapotezee na iwe siri 'due to the sensitivity of the matter'. Yani unakingiwa kifua kwenye kampuni yako? JW Thompson picha chini.
Bill Gates resigned from Microsoft board in 2020 after 'affair'
Bill Gates had an affair with a Microsoft employee beginning in 2000, which was the subject of an independent investigation in 2019. Gates resigned suddenly from the board in March 2020.
www.dailymail.co.uk