Teleskopu
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 702
- 762
Patent WO / 2020/060606 imetengenezwa na Microsoft Technology Licensing LLC
………
Jina la patent hii kama unavyoona hapo juu ni: “Cryptocurrency system using body activity data"
Maana yake ni kuwa huu ni mfumo wa fedha wa kidijitali usiotumia sarafu wala noti tulizozaliwa tukazikuta hadi leo. Ni mfumo unaotumia data zinazotokana na shughuli za mwili.
Kwa maneno mengine, ili ulipwe lazima mfumo upate taarifa toka KWENYE MWILI WAKO kwamba kazi uliyopewa umeifanya KIKAMILIFU.
Shughuli za mwili ni kama zipi?
Ukiingia kwenye link ya documents, hapa:
Utaona documents zinazotoa ufafanuzi mbalimbali. Mojawapo inaitwa: Application body as filed. Ukurasa wa 1-2 (nimeunganisha) zinasema hivi:
Inataja shughuli hizo ni pamoja na:
Sijui kama uliona post yangu inayohusu video ya World Economic Forum inayosema HUTAMILIKI CHOCHOTE LAKINI UTAKUWA NA FURAHA; ILA UTAFUNGIWA MAHALI NA UTAKUWA UNAFUATILIWA 24/7. (Bofya hapa uisome: Malengo maovu ya wakubwa wa dunia ) – Ndio maana kila mwisho wa post nakwambia “Connect the dots” Usiangalie jambo moja ukaishia kuona hilohilo.
Turudi kwa Geti.
Sasa mwili utatumaje taarifa? Na pesa zitakuwa wapi?
Mkuu wa World Economic Forum ameandika kitabu mwaka jana kinahoitwa: Covid 19: The Great Reset. Kwenye utangulizi anasema:
Kwa hiyo tunakoelekea ni wapi?
Katika kitabu chake Fourth Industrial Revolution uk 12 Schwab anasema hivi:
Maendeleo ya viwanda ya nne ni kuunganisha physical (mfano simu), digital (mfano internet) na biological (mfano mwili).
Hapo ndipo tunapata Internet of Bodies (IoB) – Soma zaidi hapa: The Internet of Bodies is here. This is how it will change our lives
Kumbuka kwenye post nyingine nilikueleza kuwa Bill Gate anashirikiana na WHO ambapo yenye ni mtoaji pesa; anashirikiana na GAVI, na hapo pia amewekeza na bi board member – Connect the dots.
Je, ni wapi ambako wamejikita zaidi hawa watu (geti na gavi) kusambaza hizo chanjo zao kwa sasa? Tazama ramani hii utapata jibu:
HITIMISHO
NAONGEA KANA KWAMBA NI FUTURE TENSE, BUT IS IT?
Connect the dots.
Katika yote utendayo, MKUMBUKE MUNGU.
UFUNUO 13 IS HERE ALREADY.
Karibu FearlessFighter , Zeus1 , Ndalilo
PATENT WO2020060606 INAPATIKANA HPA:
WO2020060606 CRYPTOCURRENCY SYSTEM USING BODY ACTIVITY DATA
………
- Microsoft ni ya bill gate, au sio?
- WO = World Order (yaani New World Order)
- 2020 = ni patent iliyosajiliwa mwaka jana WIPO (World Intellectual Property Organisation)
- 060606 = namba ya patent (666??? - tafakari)
Maana yake ni kuwa huu ni mfumo wa fedha wa kidijitali usiotumia sarafu wala noti tulizozaliwa tukazikuta hadi leo. Ni mfumo unaotumia data zinazotokana na shughuli za mwili.
Kwa maneno mengine, ili ulipwe lazima mfumo upate taarifa toka KWENYE MWILI WAKO kwamba kazi uliyopewa umeifanya KIKAMILIFU.
Shughuli za mwili ni kama zipi?
Ukiingia kwenye link ya documents, hapa:
- Brain waves – mawimbi ya ubongo
- Body heat – joto la mwili
Sijui kama uliona post yangu inayohusu video ya World Economic Forum inayosema HUTAMILIKI CHOCHOTE LAKINI UTAKUWA NA FURAHA; ILA UTAFUNGIWA MAHALI NA UTAKUWA UNAFUATILIWA 24/7. (Bofya hapa uisome: Malengo maovu ya wakubwa wa dunia ) – Ndio maana kila mwisho wa post nakwambia “Connect the dots” Usiangalie jambo moja ukaishia kuona hilohilo.
Turudi kwa Geti.
Sasa mwili utatumaje taarifa? Na pesa zitakuwa wapi?
Mkuu wa World Economic Forum ameandika kitabu mwaka jana kinahoitwa: Covid 19: The Great Reset. Kwenye utangulizi anasema:
At the time of writing (June 2020), the pandemic continues to worsen globally. Many of us are pondering when things will return to normal. The short response is: never.
Kwamba wengi wanadhani kuwa baada ya korona, tutarudia hali ya zamani. Jibu fupi ni kuwa: sahau.
Kwa hiyo tunakoelekea ni wapi?
Katika kitabu chake Fourth Industrial Revolution uk 12 Schwab anasema hivi:
Hapo ndipo tunapata Internet of Bodies (IoB) – Soma zaidi hapa: The Internet of Bodies is here. This is how it will change our lives
Kumbuka kwenye post nyingine nilikueleza kuwa Bill Gate anashirikiana na WHO ambapo yenye ni mtoaji pesa; anashirikiana na GAVI, na hapo pia amewekeza na bi board member – Connect the dots.
Je, ni wapi ambako wamejikita zaidi hawa watu (geti na gavi) kusambaza hizo chanjo zao kwa sasa? Tazama ramani hii utapata jibu:
- Iko siku utawekewa sensors ndani ya mwili wako.
- Iko siku sarafu na noti zote zitaondolewa ibaki cryptocurrency.
- Utalipwa cryptocurrency pale tu utakapofanya kazi uliyopangiwa.
- Pesa hizo zitakuwa mwilini mwako maana tayari wewe utakuwa sehemu ya Internet of Bodies (IoB)
- Kile kitakachoingizwa mwilini mwako kitakumiliki HADI MAWAZO YAKO.
- Uhuru na utashi na uwewe wako utakuwa ndio umefika MWISHO.
- Utakuwa ni MTUMWA wa wakubwa wa dunia.
NAONGEA KANA KWAMBA NI FUTURE TENSE, BUT IS IT?
Connect the dots.
Katika yote utendayo, MKUMBUKE MUNGU.
UFUNUO 13 IS HERE ALREADY.
Karibu FearlessFighter , Zeus1 , Ndalilo
PATENT WO2020060606 INAPATIKANA HPA:
WO2020060606 CRYPTOCURRENCY SYSTEM USING BODY ACTIVITY DATA