Mmmmn your just challenging me ok here we go let me answer you this way, kwa IMANI yangu na Maandiko ya bililia niliyosoma yasema popte mlipo kati yenu mumngu yupo na hata muwe wawili au watatu mungu yupo na huyo maria unaemsema pia yupo tha'ts why watu wanapata misaada kutoka nchi za nje, ivi for your own thinking capacity bila mungu kuwapa miyoyo watu ambao hata leo hii wanatoa misaada na wengine pia wanapona unafikiri ni kwauwezo wa binadamu?
Na usemavyo kuwa maria kwanini hajatokea akawapa watu dawa unatakiwa uelewe kua anaweza kutokea kwa njia nyingine ambayo siop ya kibinadamu bali ya kiroho.
Hata kumpitia binadamu na sio yeye kama yeye, na ndio maana pia maandiko yanasema yesu angeshuka toka mbinguni yeye kama yeye kwa muonekano wake kama alivyo in this worl asingebaki mtu maana yuko tofauti na sisi he has a power watu wote tungekimbia kwa uwoga na kwa zambi zetu tulizo nazo,maria aweza kutokea in other way ambayo bila IMANI huweza kutambua that's all.