Image of virgin Mary grows on tree

Image of virgin Mary grows on tree

Samahani. Haina haja ya kupaniki. Hatushindani. Tunajadili tu. Sio kuwa nimeshindwa kutoa majibu ila hata nikisema hivi au vile, majibu yangu yata-base kwenye Biblia inayosema Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Pia, si mimi nisemaye mtu asiyeamini uwepo wa Mungu ni mpumbavu, again ni Biblia hiyo hiyo ninayoiamini mimi 100% inasema asemaye hakuna Mungu ni mpumbavu.

Sasa kwa vile wewe huamini uwepo wa Mungu (upumbavu kwa mujibu wa Biblia ninayoiamini), basi si rahisi tukaelewana. Hutayaamini majibu yangu maana huamini Uwepo wa Mungu, hivyo sijashindwa kujibu maswali yako.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aachie watu wafe kwa ugonjwa kama Ebola?

Nikikwambia watu walioandika biblia walitaka kuwashikia akili wapumbavu wanaoogopa kuitwa wapumbavu kwa kuandika "mpumbavu amesema hakuna mungu" na kwa sababu wewe ni.mpumbavu unayeogopa sana kuitwa mpumbavu kuliko kuwa mpumbavu utajibu vipi?
 
Anaitwa virgin kwa sababu
1. Kumbuka mimba aliipata kwa uwezo wa roho mtakatifu na ndio maana anaitwabikra kwakuwa hakua amegegendana na mtu though alikua ana mumewe joseph ila aliambiwa atapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu ndio maana anaitwa bikra mapaka leo japokuwa amezaa ila mimba hiyo hakuipata kwa njia ya gegendo
Kinachonishangaza huyu mwanamke mpaka leo anaitwa virgin eti
 
Anaitwa virgin kwa sababu
1. Kumbuka mimba aliipata kwa uwezo wa roho mtakatifu na ndio maana anaitwabikra kwakuwa hakua amegegendana na mtu though alikua ana mumewe joseph ila aliambiwa atapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu ndio maana anaitwa bikra mapaka leo japokuwa amezaa ila mimba hiyo hakuipata kwa njia ya gegendo

Kwa nini bimira Maria hajatokea Monrovia Liberia watu wanakufa kwa Ebola kama nzi awape dawa?
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aachie watu wafe kwa ugonjwa kama Ebola?

Nikikwambia watu walioandika biblia walitaka kuwashikia akili wapumbavu wanaoogopa kuitwa wapumbavu kwa kuandika "mpumbavu amesema hakuna mungu" na kwa sababu wewe ni.mpumbavu unayeogopa sana kuitwa mpumbavu kuliko kuwa mpumbavu utajibu vipi?

Kwenye swali hili ngoja nimuite maalim wangu kahtaan na kaka Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aachie watu wafe kwa ugonjwa kama Ebola?

Nikikwambia watu walioandika biblia walitaka kuwashikia akili wapumbavu wanaoogopa kuitwa wapumbavu kwa kuandika "mpumbavu amesema hakuna mungu" na kwa sababu wewe ni.mpumbavu unayeogopa sana kuitwa mpumbavu kuliko kuwa mpumbavu utajibu vipi?

Ipo siku amini nakuambia utakiri uwepo wa Mungu, amini maneno yangu haya, utakiri tu! Hata waliomsulubisha ilifika point wakaamini na kusema "hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu" pale alipokata roho miamba ikapasuka, makaburi yakafunguka, pakawa giza na tetemeko la nchi kuashiria kuwa aliyeondoka duniani naam si wa kawaida!!

Ila nakuambia ndugu yangu, hata leo yupo na anaokoa maelfu na maelfu. Huyu ndiye, naam mwenye jina maarufu na lenye uwezo na lipitalo majina yote. Je, umesahau au huamini kuwa "kila goti litapigwa"?

Acha niwe mpumbavu ila "mtafufuteni Bwana maadam anapatikana".
 
Ipo siku amini nakuambia utakiri uwepo wa Mungu, amini maneno yangu haya, utakiri tu! Hata waliomsulubisha ilifika point wakaamini na kusema "hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu" pale alipokata roho miamba ikapasuka, makaburi yakafunguka, pakawa giza na tetemeko la nchi kuashiria kuwa aliyeondoka duniani naam si wa kawaida!!

Ila nakuambia ndugu yangu, hata leo yupo na anaokoa maelfu na maelfu. Huyu ndiye, naam mwenye jina maarufu na lenye uwezo na lipitalo majina yote. Je, umesahau au huamini kuwa "kila goti litapigwa"?

Acha niwe mpumbavu ila "mtafufuteni Bwana maadam anapatikana".

Hujajibu swali.
 
Hakulala nae na ndio maana aliambiwa atapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu its a long story but ukiwa unasoma bible if you are a chriastian utaelewa mumy, napia hakuzaa wadogo zake na iliitwa bikra na ataitwa bikra mpaka leo kwakua hakuwai kulala na mwanaume
Kwan Maria alivyozaa Yesu,,yule mmewe Yusufu hakulala naeee
Hakuzaa wadogo zake Yesu!!?? Kwa hiyo bikra iliendelea tu kujirudiaa????
 
Nilishakuambieni msiabudu sanamu, mnaona sasa mtu kachora picha kwenye mti kwa maslahi yake, anawapotosha watu.
 
wewe ndio wasema hapa ili kuhalalisha unachokiamini peke yako, but i stand to be corrected, mie nazungumza kwa uhalisia, kama alitumiwa kama walivotumika binadamu wengine, je waweza kuniambia ni wapi katika biblia mtu (mwanamke) ameambiwa Umebarikiwa wewe kuliko wanawake wote?je baraka ya mungu wewe mwanadamu waweza ifuta?
hakuna alikuambia kuwa maria sio binadamu, yupo?if yes ni nan?
wanachokuambia hapa watu ni kuwa Maria is Blessed, ni mama wa Yesu, na watu kuomba kwa kusema Maria utuombee, sio kuwa wanakosea...au wewe hukusoma kuwa Mungu anasikiliza maombi ya watakatifu? na utakatifu wa maria malaika alikufunulia kwa kusema wazi wazi kuwa amebarikiwa yeye kuliko wanawake wote... naamini umenielewa...but wakaribishwa kama una maswali zaidi.

Hebu soma Warumi8:26-27. uone ni nan anaetuombea huko mbinguni.

Kuhusu Mungu kusikiliza maombi ya watakatifu ni tofauti na inavyo tumika.

Soma huo mstari then tujadili
 
Pray for us
625419_10201219102312568_1301427804_n.jpg
 
Anaitwa virgin kwa sababu
1. Kumbuka mimba aliipata kwa uwezo wa roho mtakatifu na ndio maana anaitwabikra kwakuwa hakua amegegendana na mtu though alikua ana mumewe joseph ila aliambiwa atapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu ndio maana anaitwa bikra mapaka leo japokuwa amezaa ila mimba hiyo hakuipata kwa njia ya gegendo

Lakini baada ya kumzaa Yesu si aligegedwa?? Kwa nini mpaka leo anaitwa bikra?
 
Lakini baada ya kumzaa Yesu si aligegedwa?? Kwa nini mpaka leo anaitwa bikra?

Aligegedwa na nani...? Hebu tupe hata uthibitisho wa kimapokeo na kiutamaduni maana uthibitisho wa kimaandiko hata Yesu akirudi hutaweza kuthibitisha..
 
Hakulala nae na ndio maana aliambiwa atapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu its a long story but ukiwa unasoma bible if you are a chriastian utaelewa mumy, napia hakuzaa wadogo zake na iliitwa bikra na ataitwa bikra mpaka leo kwakua hakuwai kulala na mwanaume

Kwa hiyo mumewe walikuwa wanalala kama kaka na dada
 
Mmmmn your just challenging me ok here we go let me answer you this way, kwa IMANI yangu na Maandiko ya bililia niliyosoma yasema popte mlipo kati yenu mumngu yupo na hata muwe wawili au watatu mungu yupo na huyo maria unaemsema pia yupo tha'ts why watu wanapata misaada kutoka nchi za nje, ivi for your own thinking capacity bila mungu kuwapa miyoyo watu ambao hata leo hii wanatoa misaada na wengine pia wanapona unafikiri ni kwauwezo wa binadamu?
Na usemavyo kuwa maria kwanini hajatokea akawapa watu dawa unatakiwa uelewe kua anaweza kutokea kwa njia nyingine ambayo siop ya kibinadamu bali ya kiroho.
Hata kumpitia binadamu na sio yeye kama yeye, na ndio maana pia maandiko yanasema yesu angeshuka toka mbinguni yeye kama yeye kwa muonekano wake kama alivyo in this worl asingebaki mtu maana yuko tofauti na sisi he has a power watu wote tungekimbia kwa uwoga na kwa zambi zetu tulizo nazo,maria aweza kutokea in other way ambayo bila IMANI huweza kutambua that's all.
Kwa nini bimira Maria hajatokea Monrovia Liberia watu wanakufa kwa Ebola kama nzi awape dawa?
 
Kwa nilivyosoma Bible sikuona sehemu ambayo imendika kuwa alivyo mzaa yesu aliendelea kugegendwa na wala kwenye mafundisho sikuwai kufundikwa hilo, kwa hilo sijui ila ntalitaftia jibu
Lakini baada ya kumzaa Yesu si aligegedwa?? Kwa nini mpaka leo anaitwa bikra?
 
Mmmmn your just challenging me ok here we go let me answer you this way, kwa IMANI yangu na Maandiko ya bililia niliyosoma yasema popte mlipo kati yenu mumngu yupo na hata muwe wawili au watatu mungu yupo na huyo maria unaemsema pia yupo tha'ts why watu wanapata misaada kutoka nchi za nje, ivi for your own thinking capacity bila mungu kuwapa miyoyo watu ambao hata leo hii wanatoa misaada na wengine pia wanapona unafikiri ni kwauwezo wa binadamu?
Na usemavyo kuwa maria kwanini hajatokea akawapa watu dawa unatakiwa uelewe kua anaweza kutokea kwa njia nyingine ambayo siop ya kibinadamu bali ya kiroho.
Hata kumpitia binadamu na sio yeye kama yeye, na ndio maana pia maandiko yanasema yesu angeshuka toka mbinguni yeye kama yeye kwa muonekano wake kama alivyo in this worl asingebaki mtu maana yuko tofauti na sisi he has a power watu wote tungekimbia kwa uwoga na kwa zambi zetu tulizo nazo,maria aweza kutokea in other way ambayo bila IMANI huweza kutambua that's all.

Hujajibu kwa nini bikira Maria hajatokea Monrovia na kuwapa watu dawa ya Ebola.

Aende kutokea Iowa huko.
 
Ok nilikua tu nakuelewesha,na huwa sipendi kubishana kwenye mambo ya dini na kama hujaelewa basi tafuta viongozi wako wa dini wakuelweshe zaidi.
Hujajibu kwa nini bikira Maria hajatokea Monrovia na kuwapa watu dawa ya Ebola.

Aende kutokea Iowa huko.
 
Back
Top Bottom