Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,983
- 3,005
Umenena vizuri. Lakini hajajibu swali la msingi, naomba unijibu:
Bikira Maria yuko hai kama alivyo Musa na Eliya huko mbiguni?
Kama ndiyo, unaweza ku-justify kwa angalia mstari mmoja wa Biblia?
Kama hayuko hai, point iko wapi kuwasiliana na mfu?
Pia naomba jibu, kuna shida gani mkiomba kwa Yesu moja kwa moja?
kuna maswali mengi ningekuuliza but ngoja nianze na haya,
Eliya pekee ndiye aliyepalizwa mbinguni bila kufa kwa mujibu wa hao watatu uliowarefer hapa, lakini musa alikufa na sehemu ulopata kwa bible inayomuongelea musa ni pale alipokuja yeye na eliya wakazungumza juu ya kifo cha yesu mlimani...wakat yesu akiwa na wanafunzi wake wale watatu...
sasa swali je waamini katika ufufuo?if yes why useme utaombaje kwa wafu? kwani yesu alipomwambia yule mwizi pale msalabani amini amini nakuambia leo hii utakuwa pamoja nami paradisoni in maana wafu wanawasiliana na kuonana?au unadhani yesu alipokufa kwa zile siku 3 alikuwa mfu completely?