Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,198
- 37,526
Zaidi ya kumzaa Yesu Kristo mwana waMungu hana nafasi yoyote kuendelea kumtukuza,kumwomba ni kupoteza muda tu.
virgin Mary ananafasi ipi katika ufalme wa Mungu, naomba kujuzwa tafadhari.