Image of virgin Mary grows on tree

Image of virgin Mary grows on tree

Zaidi ya kumzaa Yesu Kristo mwana waMungu hana nafasi yoyote kuendelea kumtukuza,kumwomba ni kupoteza muda tu.

virgin Mary ananafasi ipi katika ufalme wa Mungu, naomba kujuzwa tafadhari.
 
Kama Bikira Maria anaweza kuwaombea Dhambi mkasamehewa sasa kwanini Yesu alikuja. Mungu angeweza kumtumia huyo bikira maria yakaisha.
pili ni wapi kwenye bibble Yesu alisema ombeni kupitia Mama yangu nami nitawasamehe??? Sana Sana alisema MTU hawezi kufika kwa baba ila kupitia kwangu but sio kwa mama take
Tatu kwanini mnachoga sanamu na kuzipigia magoti ilihali hao mnaowapigia magoti wako hai???
kwa mawazo yangu Mimi ni kuwa kilichokufa ndio kinachochongewa sanamu....why mnachonga sanamu kwa MTU aliye hai???

Maneno mazito haya. Subiri waje...
 
Zaidi ya kumzaa Yesu Kristo mwana waMungu hana nafasi yoyote kuendelea kumtukuza,kumwomba ni kupoteza muda tu.

Uko kama mimi yani. Ila heshima au value yake iko pale pale, the most blessed woman of all women!
 
If the Virgin Mary has to steep down to these types of pranks, then she is running out of tricks indeed.

Why doesn't she appear in Monrovia and give the dying Liberians the cure for Ebola?
 
Twende Taratibu.

Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu.

Jesus aliexist mda mrefu sana before hata Mary kuwepo. Amejidhihirisha kwetu kupitia Mary. But haimanishi wanauhusian Mary na Jesus wapo kama mimi na Mama yangu.

kwa hiyo mama yako hana nafasi katika utawala wako?
je kama wakubali Yesu ni mfalme na ni mwana wa mungu, mama wa mfalme anaitwa nani? je huwa hana nafasi katika utawala wa mwanaye mfalme?
Twende taratibu tu...ili uelewe..
 
kwa hiyo mama yako hana nafasi katika utawala wako?
je kama wakubali Yesu ni mfalme na ni mwana wa mungu, mama wa mfalme anaitwa nani? je huwa hana nafasi katika utawala wa mwanaye mfalme?
Twende taratibu tu...ili uelewe..

Sio lazima awe na nafasi. Pale Ikulu uliwahi kusikia chochote kuhusu mama wa prof?
 
If the Virgin Mary has to steep down to these types of pranks, then she is running out of tricks indeed.

Why doesn't she appear in Monrovia and give the dying Liberians the cure for Ebola?

Logic hapa sasa? Some questions are too complicated to answer with a human thinking.
 
Logic hapa sasa? Some questions are too complicated to answer with a human thinking.

That is a classic "Deus ex Machina".

Hujajibu swali.

Kwa nini bikira Maria hajatokea Monrovia watu wanapoanguka na kufa kwa Ebola awape dawa wapone?

Kama some questions are too complicated to answer with human thinking wewe ulitumia thinking gani kujua hilo?
 
Kama Bikira Maria anaweza kuwaombea Dhambi mkasamehewa sasa kwanini Yesu alikuja. Mungu angeweza kumtumia huyo bikira maria yakaisha.
pili ni wapi kwenye bibble Yesu alisema ombeni kupitia Mama yangu nami nitawasamehe??? Sana Sana alisema MTU hawezi kufika kwa baba ila kupitia kwangu but sio kwa mama take
Tatu kwanini mnachoga sanamu na kuzipigia magoti ilihali hao mnaowapigia magoti wako hai???
kwa mawazo yangu Mimi ni kuwa kilichokufa ndio kinachochongewa sanamu....why mnachonga sanamu kwa MTU aliye hai???

Kumbe una ombwe kubwa sna ndani ya kichwa chako...Nipo na majukumu kidogo ila nitakurudia maana naona macho yako yanaona nyekundu kumbe ni nyeupe pee...
 
kwa hiyo mama yako hana nafasi katika utawala wako?
je kama wakubali Yesu ni mfalme na ni mwana wa mungu, mama wa mfalme anaitwa nani? je huwa hana nafasi katika utawala wa mwanaye mfalme?
Twende taratibu tu...ili uelewe..

Sawa twende taratibu.
Mimi nina mahusiano ya Ki DNA na mama yangu, mimi siku exist before ya mama yangu, mimi sikumuumba mama yangu, mimi si Mungu wa mama yangu.....
U-mama wa Maria kwa Yesu si sawa na U-mama wa mama yangu kwangu

twende taratibu.
 
woote nyie hamna kitu hapo, mnalumbana juu ya CREATIONS and not CREATOR!!! Bibilia hamuiju hata kidogo!

Wapi Yesu ameseme yeye ni mungu ( mungu wa kweli anasema bila kumung'unya kama MIMI NI MUNGU NIABUDUNI) chaajabu hata wanafunzi wake hawakumuabudu wakati huo.

Huyo Maria alikuaga na mchumba kabla ya kumzaa yesu (ukisoma bibilia kwa umakini), kuhusu swala la ku Duu kwenye uchumba wao, hiyo ni siri yao!!!
 
That is a classic "Deus ex Machina".

Hujajibu swali.

Kwa nini bikira Maria hajatokea Monrovia watu wanapoanguka na kufa kwa Ebola awape dawa wapone?

Kama some questions are too complicated to answer with human thinking wewe ulitumia thinking gani kujua hilo?

Twende taratibu. Idea ni kuwa swali lako ni valid lakini nakuhakikishia anayeweza kulijibu ni Mary mwenyewe au vinginevyo amtume mtu akwambie jibu. Biblia inasema "...niliyowafunulia ninyi ni ya kwenu ninyi na watoto wenu". Maana kuna maswali mengine ukijiuliza unaweza kudata. Mfano ni hili swali uliloiliza, au mtu akikuuliza kati ya binadam na shetani nani alitangulia duniani? Imiwa ni shetani ndiye aliyetangulia, why Mungu alimuumba binadam na kumuweka mahali shetani yupo wakati akijua shetani ni neenye uwezo na maarifa kuliko binadamu? Huwezi kupata jibu hata uende wapi!
 
woote nyie hamna kitu hapo, mnalumbana juu ya CREATIONS and not CREATOR!!! Bibilia hamuiju hata kidogo!

Wapi Yesu ameseme yeye ni mungu ( mungu wa kweli anasema bila kumung'unya kama MIMI NI MUNGU NIABUDUNI) chaajabu hata wanafunzi wake hawakumuabudu wakati huo.

Huyo Maria alikuaga na mchumba kabla ya kumzaa yesu (ukisoma bibilia kwa umakini), kuhusu swala la ku Duu kwenye uchumba wao, hiyo ni siri yao!!!

Unless unasoma Biblia kama kitabu cha kawaida ndio utawaza hivyo. In other words huamini ksma Yesu ni Mungu na unasema unaijua Biblia?? Sura ya kwanza ya Mt. Yohana mstari wa kwanza umeisoma? Inaposema "...huyo NENO alitoka kwa Mungu, akafanyika mwili, naye NENO ni Mungu, na bila yeye hakuna kitu kingefanyika" unaelewa huyu NENO ni nani, au ni nani mwenye sifa hizi za NENO kama si Yesu Kristo wa Nazareth? Hebu acha basi kusoma Biblia kama gazeti.
 
Twende taratibu. Idea ni kuwa swali lako ni valid lakini nakuhakikishia anayeweza kulijibu ni Mary mwenyewe au vinginevyo amtume mtu akwambie jibu. Biblia inasema "...niliyowafunulia ninyi ni ya kwenu ninyi na watoto wenu". Maana kuna maswali mengine ukijiuliza unaweza kudata. Mfano ni hili swali uliloiliza, au mtu akikuuliza kati ya binadam na shetani nani alitangulia duniani? Imiwa ni shetani ndiye aliyetangulia, why Mungu alimuumba binadam na kumuweka mahali shetani yupo wakati akijua shetani ni neenye uwezo na maarifa kuliko binadamu? Huwezi kupata jibu hata uende wapi!

Kama hujui jibu la swali unakubali kitu usichokielewa.

Unaamini Virgin Mary na utakatifu wake, lakini huwezi kuelezea kwa.nini mama huyu na utakatifu wake wote na uwezo wake wa kuwapa Waafrika masikini dawa wasife kama nzi kwa Ebola hajitokezi Monrovia Liberia awape dawa masikini hawa anaenda kutokea sehemu nyingine.

Swali lako la shetani na binadamu nani katangulia lina assume kwamba mimi naamoni katika kuwepo kwa shetani na mungu.

Mimi sikubali kwamba shetani yupo, sikubali kwamba mungu yupo.

Kwa hiyo swali lako kwangu hali apply.

Ukifimiri kwa kutumia akili na kuacha mambo ya mapenzi ya dini pembeni utaona huyu mungu wa waislamu na wakristo ni kamba tu.

Hawezekaniki.
 
Back
Top Bottom