Please go for prayers, I advise you ask God to give you HIS Holy Spirit. And believe me, someday you'll be preaching and spreading the gospel! I will also mention your name in my prayers. Should I mention KIRANGA or you think God will have to validate this name?
God is invisible, what do you want to see?
The questions presumes the universe was made. How do you know that?
Te he he he!Twende taratibu kivipi wewe....Mimi naongea kwa Evidence ya maandiko wewe unaongea maneno matupuu..
Support you arguments with scripture...
Mpaka sasa huna hadhi ya kujadili...
Mhhmmmmm!!!!Hebu tulia Roho Mtakatifu anatuombea kwa nani mkuu..???? Hapa ukikutana na wale wasioamini kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu utakwama....Maana utaulizwa anatuombea kwa nani angali yeye ni Mungu..
Wewe umeelewaje kuhusu hilo andiko...
Ndio maana nikakuuliza unaamini Roho Mtakatifu ni Mungu...
Waabudu vinyago utawajua tu...!!!
I dont accept there is a god, I have asked you to show me that there is a god.
You are asking me to pray to god.
Who is tze comic one now?
Talking about putting the cart before the horse.
You not accepting the existnce of God does not mean He does not exist... and you are going to demand i prove to you He exists.
Lazima iwe hiyo,je hakuna zaidi? Mpe choice usimlazimishe huenda nawe ukahitaji kuombewa.Ndugu yangu itakua ngumu kuelewa kama nafsi yako imeshakua hasi juu ya uwepo wa MUNGU, ila naamini taratibu utaelewa maana mwisho wa siku utaamini na kukiri imani ya kristu
Anachoringia Kiranga ni kuwa huyu jamaa amaelewa vizuri Mungu hafanyi jambo kwa shinikizo.Naona Kiranga unaogopa Ebola saaana, kuna magonjwa mengi tu. Na vilevile una dalili zote za kufa, ndio maana unataka kum-challenge Mungu. Endelea........
Kwa vile u mwerevu ndani ya kundi la wajinga ingekuwa logic kwa wewe kuwaonyesha kuwa hicho wanachokiamini hakipo.Nawa challenge wanaosema yupo wathibitishe kwamba yupo.
How is that illogical?
Mjinga humjibu kwa swali. Hutakiwa kupewa jawabu ili ajifahamu. Usijipe hadhi ya kuuliza tu ukaondowa wajibu wa kujibu.Wewe unavyojua, ulitokea wapi?
*Siyo unachoamini, bali ni unachojua*
Hujajibu swali.
You are totally beside my point.
You are launching an "ad hominem" attack. Badala ya kujibu hoja unanitukana mimi.
Kwa sababu huwezi kujibu hoja.
Mimi nimekuwa nataka sana kujuzwa na nimesikiliza maoni hapa, ndiyo maana nauliza mpaka sasa, kwa hiyo huwezi kusema nang'ang'ania kona moja.
Tatizo huna majibu ya kuridhisha, utategemeaje nitoke nilipo bila kunijibu? Nitoke kwa nini?
Kwa mitusi unayonitukana?
Ndivyo mungu wako alivyokufundisha hivyo?
Yupi mmojawapo? Chukulia mimi sijawasikia kuhusu huyo mungu wao naomba nifamishe wanamtajataja vipi?Sijui, lakini si kwa mungu huyu mnayemsema.
Kwa sababu yuko logically inconsistent. Anafeli mitihani midogo tu ya kibinadamu.
Simple ni matakwa yake? Who are we to question him?Hujaelewa swali.
Kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao vichwa vibovu vinawezekanika kuwapo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao vichwa vibovu haviwezekaniki?
Hata mtoto wako ukimchekea sana atakutemea mate. Tumeumbwa na tabasamu na hasira na kila kimoja kinahitajika kwa wakati wake nae namsifu kuwa anajuwa kuvitumia.Cool down brodah, uvimilivu na kuweza control ur hanger itakufanya huwe na image nzuri na kukufanya good leader kwa wale wanao kufatilia.
Simple ni matakwa yake? Who are we to question him?
Yupi mmojawapo? Chukulia mimi sijawasikia kuhusu huyo mungu wao naomba nifamishe wanamtajataja vipi?
Siridhiki uniulize swali kwani nimeshakwambia sijamsikia huyo mungu unaemtaja kuwa wao wanamtaja.
Anachoringia Kiranga ni kuwa huyu jamaa amaelewa vizuri Mungu hafanyi jambo kwa shinikizo.