Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,903
- 28,047
Mkuu, hatushindani umahiri wa ku-site au nan msomaji sana wa bible. Kama wew ni msomaji umeshndwa jua wapi yametoka maandika hayo?
Ok kubwa ngoja nikutafutie huone jinsi Roho MTAKATIFU ANAVYOTUSAIDIA KUOMBA
Fanya fasta...
Kumbuka umesema Roho Mtakatifu anatuombea...