Image of virgin Mary grows on tree

Image of virgin Mary grows on tree

Mkuu, hatushindani umahiri wa ku-site au nan msomaji sana wa bible. Kama wew ni msomaji umeshndwa jua wapi yametoka maandika hayo?

Ok kubwa ngoja nikutafutie huone jinsi Roho MTAKATIFU ANAVYOTUSAIDIA KUOMBA

Fanya fasta...

Kumbuka umesema Roho Mtakatifu anatuombea...
 
Kama humshangai Binadamu aliyekamilika kuwa na "Mwili" "Roho" na "Nafsi", Je Mungu Baba si zaidi ya sana, yaani huwezi kuelewa asili ya Mungu na jinsi alivyo kwani sisi ni mavumbi tu tulioumbwa kwa "mfano" wake!
Sijakuelewa..
 
Hebu pitia kidogo Warumi8:26
hadi 27 pia kama ukihitaji

Roho Mtakatifu ni Nafsi ya Tatu ya Mungu...ni Mungu halisi..

Tunamuomba Mungu na Mungu hatuombei...Hapo ni Roho Mtakatifu anahuzunika kwasisi kutokujua kuomba....
Ukisema anatuombea unafikiri anatuombea kwa nani..?

Labda kama huamini Roho Mtakatifu ni Mungu..
 
Roho Mtakatifu ni Nafsi ya Tatu ya Mungu...ni Mungu halisi..

Tunamuomba Mungu na Mungu hatuombei...Hapo ni Roho Mtakatifu anahuzunika kwasisi kutokujua kuomba....
Ukisema anatuombea unafikiri anatuombea kwa nani..?

Labda kama huamini Roho Mtakatifu ni Mungu..

Acha story kubwa na kuleta utashi wako andiko limesemaje?? Unalipinga sasa. Umetaka ni site i dd sema lingine
 
Acha story kubwa na kuleta utashi wako andiko limesemaje?? Unalipinga sasa. Umetaka ni site i dd sema lingine

Umaweza ukawa mbumbumbu usiyejua andiko hilo lina maamisha nini..??

Roho Mtakatifu ni Mungu(alfa na Omega).... Sasa anatuombea kwa nani kama Yeye ni Mungu...?

Hilo andiko wewe umelielewaje..?
 
Kuna tatizo gani kwani..???

Ulitaka ni site, juu ya Uumbaji pale Mungu alipongea kwa Wingi kuwa tumfanye mwanadamu kwa mfano wetu, ndo nkakupa hiyo ya Mwanzo. Na hiii nyingine ni about Roho Mtakatifu kutumbea.
 
Mambo ya kimungu lazima ushangae kwa maana ni ya ajabu mno! Lakini huwezi kushangaa viongozi wastaafu kama Marais, Maaskofu, Mabalozi na Mawaziri Wakuu wanaendelea kuitwa kwa vyeo vyao mpaka wanakufa-why?

Mfano wako mfu....wala hauendani. Rais huwa anaitwa Rais mstaafu na sio rais....na vilevile kila msichana/mwanamke alikuwa bikra wakati fulani mbona hawaendelei kuitwa hivyo?
 
Ulitaka ni site, juu ya Uumbaji pale Mungu alipongea kwa Wingi kuwa tumfanye mwanadamu kwa mfano wetu, ndo nkakupa hiyo ya Mwanzo. Na hiii nyingine ni about Roho Mtakatifu kutumbea.

Hebu tulia Roho Mtakatifu anatuombea kwa nani mkuu..???? Hapa ukikutana na wale wasioamini kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu utakwama....Maana utaulizwa anatuombea kwa nani angali yeye ni Mungu..

Wewe umeelewaje kuhusu hilo andiko...

Ndio maana nikakuuliza unaamini Roho Mtakatifu ni Mungu...
 
Hebu tulia Roho Mtakatifu anatuombea kwa nani mkuu..???? Hapa ukikutana na wale wasioamini kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu utakwama....Maana utaulizwa anatuombea kwa nani angali yeye ni Mungu..

Wewe umeelewaje kuhusu hilo andiko...

Ndio maana nikakuuliza unaamini Roho Mtakatifu ni Mungu...

:what: mbona hueleweki, hapa tunajadili kuwa nani anatuombea. Maana katika hilo andiko la warumi linaonyesha kuwa Roho ndo anaetuombea sisi, watakatifu hao wengine ambao mnawaomba wawaombee andiko hilo mstari wa 27. Linaonyesha wao wanaombewa na Roho pia. Eti kubwa unaonaje juu ya hili? Ushapewa evidence leta nondo zako.
 
Baada ya kuzaliwa Kristu.walipatikana wadogo zake pia mmoja wao alikuwa mtume kasome biblia!
Wacha uongo kweupe...

Hakuna taarifa yoyote ya Kihistoria yrnye kuaminika kuwa Maria alipata watoto wengine. Katika Injili kuna taarifa kywa Kaka na Dada wa Yesu walijulikana pale kijijini pao Nazareti (Mk. 6:3)

Maneno Kaka na Dada katika Utamaduni wa Wayahudi yalimaamisha ndugu yeyote wa Karibu rejea (Mwa. 13:8; 29:11-15)
Au mtu wa Kabila moja (Hes. 16:10; 18:2-6)......Au hata Myahudi mwenzie.(Kumb: 15:11; 17:15)

Kaka na dada wa Yesu haimaanishi lazima wawe tumbo moja, kaka na dada wa Yesu wanaotajwa katika Injili ni wale ambao sisi tungewaita watoto wa Baba mkubwa au Mdogo....

Halafu Hoja ingine kama Maria alikuwa na watoto wengine, kwanini Yesu hakumkabidhi Maria kwa hao badala yake alimkabidhi kwa mwanafunzi wake.....(Yn. 19:25-27)
 
:what: mbona hueleweki, hapa tunajadili kuwa nani anatuombea. Maana katika hilo andiko la warumi linaonyesha kuwa Roho ndo anaetuombea sisi, watakatifu hao wengine ambao mnawaomba wawaombee andiko hilo mstari wa 27. Linaonyesha wao wanaombewa na Roho pia. Eti kubwa unaonaje juu ya hili? Ushapewa evidence leta nondo zako.

Mungu anaombea mtu tangu lini..??? Mungu anaombwa haombe....

Nimekuuliza umeelewa huo mstari kwa kanisa la Uroma..?

Matatizo ya kukariri Biblia kama kasuku..
 
Mungu anaombea mtu tangu lini..??? Mungu anaombwa haombe....

Nimekuuliza umeelewa huo mstari kwa kanisa la Uroma..?

Matatizo ya kukariri Biblia kama kasuku..

Hujajibu hoja. Ngoja nirudie swali, haya huo.mstari umehuolewaje? Hebu eleza kulingana na mstari ulivyo ni sa kulingana unavyotaka hiwe.
 
Back
Top Bottom