I'm too old to be dumped

I'm too old to be dumped

Usinikumbushe aisee kuna binti nilikuwa namfukuzia akamwambia rafiki yangu Atlas simtaki sababu hana swaga hayupo romantic,nikaona isiwe kesi nikaacha kumfuatilia wakati huo yupo na kisharobaro yy ndio amfanyie shopping ya nguo wakitaka kwenda kula bata mahali dem ndio atoe gharama basi ni tafran tupu,sijui hata aliishia wap na sharo wake
acha anyooshwe
 
Ila kuna jambo moja nimekuja kuligundua sijui ni kwanini madem wa uswahilini wakienda sehemu za ushuani ukitaka kumsoundisha anakua kama vile amepampiwa mara anakua kama na wenge.."hey please niache" sitaki kuongea na mtu ila ukimkuta mtoto wa kishua unaanza masalamu kadhaa mtoto naye anaunga vizuri...sielewi hili jambo kwanini lipo hivi
Ni uswahili tu unakuwa hauwezi fichika, mtoto wa kishua anaona kawaida tu af wengi wako real kama amekuelewa hutatumia nguvu nyingi.
 
Watu hufikiri kila binti mzuri hajatulia hii perception imeathiri wengi hata mabinti wazuri waliotulia. Sababu kijana kichwani kwake anakuwa ameshajiwekea hiyo dhana.Ukiangalia wengine ni kawaida na hawajatulia kabisa. Unaweza kupoteza bahati kutokana na perception binafsi. Wapo mabinti wazuri na waliolelewa vizuri.
Kwenye 10 yupo mmoja au hakuna kabisa. Bitter truth
 
Mimi kama mzazi nina majukumu yangu kwa mwanangu. Majukumu yangu hayajumuishi kumuaminisha kua ndoa ni kila kitu maishani, hayajumuishi kumfundisha kua mapenzi ni kila kitu.

Nataka aiangalie dunia katika mtindo wake yeye kama yeye huku akirelate na jamii yetu. Nataka kwamba if ad nigga dumps her she wont be on her knees pleading for mercy na sio kumlamba lamba mtu miguu ati kisa kuna ndoa.
 
HABARI,


Nipo kwenye daladala natoka Kibamba naelekea Mawasiliano

Pembeni yangu kuna dada anajitahidi kuongea kwa sauti ya chini na utulivu, ilhali kwa muonekano wake hayupo katika utulivu: " Samwel am too old to be dumped, kwanini unanifanyia hivi? "

Kimoyo moyo nikajisemea, jamaa ashamtema dada wa watu.

Hapo hapo nikajikuta namkumbuka yule dada wa saluni ya kike pale Sinza , ambaye alipigiwa simu na bwana wake hakupokea, alafu akawaambia wenzake
"Mpaka apige mara 5 ndio napokea, na nikipokea najua lazima aombe msamaha".

Kwenye mapenzi ukishikwa, kazi unayo.

Ila kwa mtazamo wangu, dada zangu they have a lot to loose when it comes to love than sisi wanaume.

Huwa nawaangalia tu girls in their 20's wanavyovimba mitaani na kwenye daladala.

Anaweza akakusonya kwa kosa la kumwangalia tu.

Nowadays the big the ass, the dumb they become. They think having that stuff kills off everything (Stupid),

Kila picha anayopost, analenga chini ya kiuno. Like na comments za kutosha within few minutes.

Ujue girls kuna kitu hadi leo hamjui kutofautisha, either kwa makusudi or kwa kutotilia umakini. " WANAWAKE WANAOTREND KWENYE HARUSI THEY ARE QUITE DIFFERENT FROM THOSE WHO ARE TRENDING IN SOCIAL MEDIAS"
Unajua kwanini??

Ushawahi kuona vogue au any luxury cars shambani? Hayo magari ni kwa ajili ya kujistarehesha tu, ukifika muda wa kazi, muda wa kuingia shambani linahitajika trekta.

Hicho ndio kipindi ambacho statements kama za yule dada wa kwenye daladala ya Kibamba - Mawasiliano zinapokuja : "Too old to be dumped"

Wanawake wanaotrend kwenye harusi ni wa kawaida tu, sio wa kujichubua, no big ass. Normal shape but attractive.

So dada angu rukaruka ila jua umri unasonga, usipojitambua mapema utaishia kupokea kadi za michango tu au kuombwa uwe maid kwenye harusi ya best yako.

Au la, mtaenda kujazana kwenye miskiti na kanisa ili wawaombee uku mkidanganyishiya mmerogwa, ndo mjipangeView attachment 1225888View attachment 1225889
point yako mkuu iko wapi?
 
Msikariri maisha, kuna wanawake wabaya na wana tabia mbaya, vile vile kuna wanawake wazuri na wana tabia nzuri, hakuna tabia ambayo inafanana kwa watu wote wa aina fulani.
 
NB: Chukueni yale mazuri tu mabaya achaneni nayo, JF siyo kila kitu cha kuchukulia serious.
Sure si kila kitu humu JF ni chakuweka kichwani, kikubwa humu ni kujifunza namna ya kuishi na watu kupitia mawazo yao. JF watu hufunguka sana kuhusu maisha yao, kufunguka kwao ki Mawazo na mikasa mbali mbali kuna tupa somo sisi vijana kwa namna moja.
 
Sure si kila kitu humu JF ni chakuweka kichwani, kikubwa humu ni kujifunza namna ya kuishi na watu kupitia mawazo yao. JF watu hufunguka sana kuhusu maisha yao, kufunguka kwao ki Mawazo na mikasa mbali mbali kuna tupa somo sisi vijana kwa namna moja.
Hakika Mkuu
 
Ila inauma sana mzazi kuona kuwa amezaa binti mremboo ambaye amerithi shepu kutokana na asili yao (wahaya, wanyakyusa, wasukuma, wahehe, wangoni, wamatengo) halafu anajua kabisa huyu watu hawatamuoa sababu wanogopa alivyo mzuri sana wanaume wataona huyu ni wa starehe tuu na show off hata kama huyo binti atalelewa kwenye maadili ya dini na adabu na heshima zote za kike.

Mi naendele kusimamia kauli yangu: YAWAPASA WANAUME KUJIAMINI JUU YA MKE WANAEMUOA NA SI KUWAZA HUYU MKE NTAOLEA WASHKAJI....

Laah wanawake wazuri na ambao wana asili ya uzuri wa sura na mashepu msizae maana uzao wenu utaishia kuchezewa tuu. Na wanawake wabaya wote na shapeless ndo wazae maana looh sio kwa unyanyapaa huu.

Hao mabinti wawili hapo juu ni kama mapacha wamefanana mnoo ni waremboo, ukikuta wanatabia njema hakuna mwanaume ambae hatawatamani ila kwa HOFU ya wanaume wengi watasema huyu ntachapiwa nikienda kazini.....

Eeeehh acha nisepe siko kundi lolote la waschana warembo wala la walioolewa, nimejikuta tuu naongea kwa sauti.

Tatizo sio uzuri au elimu
Tatizo ni tabia za vijana wenyewe both gender,kuna step ukizicheza vizuri in your twenties huna haja ya kuogopa kama ni msichana mrembo ni vizuri lakini urembo tu hautoshi tabia jamani tabia
Wapo wadada wazuri tu na shape nzuri elimu nzuri na wameolewa mimi nalia na tabia tu
 
Ila kuna jambo moja nimekuja kuligundua sijui ni kwanini madem wa uswahilini wakienda sehemu za ushuani ukitaka kumsoundisha anakua kama vile amepampiwa mara anakua kama na wenge.."hey please niache" sitaki kuongea na mtu ila ukimkuta mtoto wa kishua unaanza masalamu kadhaa mtoto naye anaunga vizuri...sielewi hili jambo kwanini lipo hivi

Kwa sample space ipi umetumia hapo mkuu
 
Mimi kama mzazi nina majukumu yangu kwa mwanangu. Majukumu yangu hayajumuishi kumuaminisha kua ndoa ni kila kitu maishani, hayajumuishi kumfundisha kua mapenzi ni kila kitu.

Nataka aiangalie dunia katika mtindo wake yeye kama yeye huku akirelate na jamii yetu. Nataka kwamba if ad nigga dumps her she wont be on her knees pleading for mercy na sio kumlamba lamba mtu miguu ati kisa kuna ndoa.

Kuna maisha zaidi ya ndoa,mabinti wafundishwe haya
Mwanaume anaempenda kama Baba anavyompenda ndio anastahili nafasi hio,mtoto wa kike akipata upendo wa kutosha kutoka kwa baba hakuna mtu huko mtaani atamzuzua
 
Back
Top Bottom