Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #81
Mambo gani kufungana??
unafikiri babu yako alishawahi kumiga bibi yako denda?
Mambo gani kufungana??
I've done all..still not getting into the point!
D ASHADII hapa nimekukubali ..asipoelewa hapa basi tena[/QUOTE
leo mmenifanya nimkumbuke mzee Mkapa.... enzi za uwazi na ukweli..... maana siupati huo hapa...ntaondoka?
Shem vipi?
Ntajuaje? Kwani mimi refa kwenye michezo yao?unafikiri babu yako alishawahi kumiga bibi yako denda?
Shem vipi?
Duu! Kumbe money can do everything!then recharge your account
Husninyo nimefurahi kukuona... unaona mbwembwe za Ivuga? lolShem vipi?
Ntajuaje? Kwani mimi refa kwenye michezo yao?
Nakunywa bado mbege uchagani!babu kama yupo si unaweza kumuuliza .vipi bado upo uchagani?
Nakunywa bado mbege uchagani!
Husninyo nimefurahi kukuona... unaona mbwembwe za Ivuga? lol
Hahahah....hapa napinga kitambi kwa nguvu zote! Wazo lako la gym zur sana, but hutonipata cuz siwezi kujiachia mpaka kitambi kinizidi!!mkuu umeenjoy sana angalia kitambi tu aisee. ukirudi bongo nitafute nina mpango wa kuanzisha gim lakini lazima uwe unalipia
Tunaendelea vizuri, chumvi ilikua imeisha ikawa shida kweli, diskasheni pege tatu! ila sasa mambo yako under control. Uncle na Anti wamepotea kama kawaida yao ya saa hizi (coughing)naziona mwali. Jiandae kukabiliana nazo. Lol. Sherehe inaendaje? Nimetoka kidogo ila usimwambie ankal.
Tunaendelea vizuri, chumvi ilikua imeisha ikawa shida kweli, diskasheni pege tatu! ila sasa mambo yako under control. Uncle na Anti wamepotea kama kawaida yao ya saa hizi (coughing)
Hapo bold nadhani sio lazima. lol
Duu! Kumbe money can do everything!
Tunaendelea vizuri, chumvi ilikua imeisha ikawa shida kweli, diskasheni pege tatu! ila sasa mambo yako under control. Uncle na Anti wamepotea kama kawaida yao ya saa hizi (coughing)
Hapo bold nadhani sio lazima. lol
Got the serial number....huh??? Punishment on....Lmao!!