Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,910
- 21,949
Wanaenda wapi?Haujiuridhi baada ya hao, ulisikia kuna wengine wamefatana tena?
Wanaenda wapi?Haujiuridhi baada ya hao, ulisikia kuna wengine wamefatana tena?
Mnaongea nn kwanilabda kwa sababu jamaa aliwapiga pin la maana, na alikua anataka kuwafuta kwenye chama na serikali..kwa hyo chuki ni kubwa sana.
ila pia hiyo theory yako ina mashiko..
maana ukiangalia huo mfululuzo jumlishia na wale jamaa zake wawili wa madaraja, na kuponea tundu la sindano kwa huyu no 2 wa sasa...
inabd mtu ujiulize sana maswali
What if the oposisheni get overturned before overturning?Mr clean alikuwa na nia ya kutuepusha na matatizo but mwendazake akawa mzembe kwenye kurinda uhai wake. Unachokiona Sasa ndiyo kilitakiwa kiwepo kwa Mr diplomasia. Unfortunately we have the same another diplomasia of the different gender but the same idiology after six years ahead. I feel confused how we will be out of gangster group. It seems will dominate our nation more decades to come. Until our opposition part become very strong and overturn this group.
Good bless our nation
I feel confused how we will be out of gangster group. It seems will dominate our nation more decades to come.
Kijasusi wanasema alie panga na alie tekeleza wote eliminateKuna theories nyingi....moja ikiwa hii
Mr Clean alipigana kwenye kamati mwenda zake kuingia ndani kutokana na historia yake na wale jamaa wa mipango.
Mdau ananiuliza hapa...je kufuatana ilipangwa au ilitokea tu Mungu aliwahitaji?
Amenikumbusha wote wamepelekwa na gonjwa moja.
Legacy ipi? Ya kutengeneza oligachy?Lakini...mbona nguvu inyotumika kuifuta legacy yake imekuwa kubwa saana..?
Sasa kwa akili yako timamu uki compare awamu ya 4 vs 5 ipi ilitengeneza Oligarchy?Legacy ipi? Ya kutengeneza oligachy?
Yaaaa. Cake [emoji512] ya Taifa
We will continue to suffer until then. China na Urusi zimeweza kuendelea katika mfumo chama kikuu kimoja tu kwa sababu wanaviongozi wenye uchu wa maendeleo. Sisi chama kimoja kudominate game na tukiongozwa na watu wenye uchu wa madaraka badala ya uchu wa maendeleo ndiyo shida hapo inaanziaWhat if the oposisheni get overturned before overturning?
awamu ya sasa ni oligarchy ila ya nne ilikuwa hooligansSasa kwa akili yako timamu uki compare awamu ya 4 vs 5 ipi ilitengeneza Oligarchy?
What do you see
Eh sahizi ni safu ya majangili tu hamna namnaawamu ya sasa ni oligarchy ila ya nne ilikuwa hooligans
Tanzania inaongozwa na walafi hawapo kwa ajili ya utaifa bali ni Cartel za upigaji kupitia mipango ya subcontracts na supplies!We will continue to suffer until then. China na Urusi zimeweza kuendelea katika mfumo chama kikuu kimoja tu kwa sababu wanaviongozi wenye uchu wa maendeleo. Sisi chama kimoja kudominate game na tukiongozwa na watu wenye uchu wa madaraka badala ya uchu wa maendeleo ndiyo shida hapo inaanzia
Awamu 4 ilitengeneza mabepari, awamu ya 5 ilitengeneza oligarchy.Sasa kwa akili yako timamu uki compare awamu ya 4 vs 5 ipi ilitengeneza Oligarchy?
What do you see
Ni ngumu sana, gangster's kids washaanza kuingizwa kwenye systemMr clean alikuwa na nia ya kutuepusha na matatizo but mwendazake akawa mzembe kwenye kurinda uhai wake. Unachokiona Sasa ndiyo kilitakiwa kiwepo kwa Mr diplomasia. Unfortunately we have the same another diplomasia of the different gender but the same idiology after six years ahead. I feel confused how we will be out of gangster group. It seems will dominate our nation more decades to come. Until our opposition part become very strong and overturn this group.
Good bless our nation
Ndiyo hapo Sasa more decades to come we will continue to suffer.Ni ngumu sana, gangster's kids washaanza kuingizwa kwenye system
Mr. Clean n nan?awamu ya sasa ni oligarchy ila ya nne ilikuwa hooligans
Nadhani ni sababu ya matendo yake maovu. Kifupi hakuna Mtanzania ambaye hakuumizwa na utawala ule. Labda kama ulikuwa hulipi kodi, hukuwa mfanyakazi Serikalini achilia mbali mkulima, kifupi yaani ulikuwa mnyonge au sukuma ganga ndiyo labda unaweza ukawa hukuona madhila yake.Lakini...mbona nguvu inyotumika kuifuta legacy yake imekuwa kubwa saana..?
Wala usiwe na wasiwasi, Mungu yupo so mtu akiwazingua watanzania wao wanamlilia Mungu kama ilivyotokea kwa bwana yuleMr clean alikuwa na nia ya kutuepusha na matatizo but mwendazake akawa mzembe kwenye kurinda uhai wake. Unachokiona Sasa ndiyo kilitakiwa kiwepo kwa Mr diplomasia. Unfortunately we have the same another diplomasia of the different gender but the same idiology after six years ahead. I feel confused how we will be out of gangster group. It seems will dominate our nation more decades to come. Until our opposition part become very strong and overturn this group.
Good bless our nation