Itakuwa wewe ni sukuma gang. Watu walifilisika mno, biashara zikafungwa, wengine wakauliwa na kutekwa tekwa kila siku, ufisadi ndiyo usiseme bila kusahau uongo mwingi huku akijificha kwenye kichaka cha wanyongeSera za MZEE zilinifanya niinuke sana kiuchumi but huyu mpemba mathafaka sana..