matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,462
- 23,246
Moja KWA moja, binafsi nilijikuta KWA sababu walionilea walikuwa wanasali humo (SDA). Yaani dini ya kurithishwa.
Lakini katika ukubwa na kujitambua nilikaa upya kutathmini na kuanza kukagua upya ninachokiamini nikilinganisha na imani nyingine na kuamini upya kabisa katika imani hii. MENGI yamenipa faida licha ya kuwepo na changamoto chache zinazozungumzika kiroho.
Kila jambo linachanzo wengine
Walifuata Mume au mke
Wengine walitishwa
Wengine of alijikuta kama Mimi
Wengine walitikea na Malaika au Mungu
Wengine walienda kutafuta koneksheni za kibiashara
Wengine walilazimishwa katika shule za kidini
Wengine ni dini za makabila yao
Etc
Wewe ilikuwaje
Lakini katika ukubwa na kujitambua nilikaa upya kutathmini na kuanza kukagua upya ninachokiamini nikilinganisha na imani nyingine na kuamini upya kabisa katika imani hii. MENGI yamenipa faida licha ya kuwepo na changamoto chache zinazozungumzika kiroho.
Kila jambo linachanzo wengine
Walifuata Mume au mke
Wengine walitishwa
Wengine of alijikuta kama Mimi
Wengine walitikea na Malaika au Mungu
Wengine walienda kutafuta koneksheni za kibiashara
Wengine walilazimishwa katika shule za kidini
Wengine ni dini za makabila yao
Etc
Wewe ilikuwaje