Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,034
- 144,388
Duh!Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege.
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Mbona unaleta taarifa huku unatetemeka!!Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Ni kwasababu ya kuishi katika bara la giza.Mbona unaleta taarifa huku unatetemeka!!
Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
#Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririkaHii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Doto ajiandae kwenye kunyea debe siku mjomba akiachia ile nafasiHii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
kwani watekaji wamekwisha ?Mbona unaleta taarifa huku unatetemeka!!
We elewa tu kuna mengine sijayaleta humu lakini tuhuma ni nzito na chanzo ni uchambuzi wa ripoti ya SIEJI uliofanywa na mwanasiasa huyo hivyo unavyosema sijafanya utafiti,ujue tu mimi sio chanzo bali mimi ni mjumbe tu na mjumbe hauwawi.No research, no right to speak.
CC: Paschal
Tangu lini mzinga nyuki wote wakatoka labda kwenye kuhama.wee hujui kuna wanaobaki kumlinda malkia?kwani watekaji wamekwisha ?
We elewa tu kuna mengine sijayaleta humu lakini tuhuma ni nzito na chanzo ni uchambuzi wa ripoti ya SIEJI uliofanywa na mwanasiasa huyo hivyo unavyosema sijafanya utafiti,ujue tu mimi sio chanzo bali mimi ni mjumbe tu na mjumbe hauwawi.
Wamehamia enisisiara!kwani watekaji wamekwisha ?
Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Hivo nyie wanasiasa mchwara wa Chadema, hamkulijua hili siku zote, na hata hamkuisoma ripoti ya CAG, mpaka Mwami Zitto aisome na aifanyie translation kwa ile lugha ya Chekechea mnaoyoimudu.Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.