yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Mlikula pamoja nnNamshauri Mhe. Waziri wa Fedha amjibu Mhe. Zitto kwa tuhuma zake zisizo na mashiko.
Ila awamu hii ni funga kazi na ukijifanya unafuatilia sana pyu pyu pyu zinakuhusu.Kila awamu ina style yake ya upigaji.
Ni swala la muda tu.
Duh!Hawa jmaa sasa hivi ukiwachokonoa wanakutafta wanakulisha covic 19 za kutosha. Ndani ya wiki unakufa then tunaongeza idadi ya wafu wa korona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusaidie kwa kutupan ufafanuzi basi.Kama hujui international procurement procedure omba msaada wakueleweshe Kuna kitu kinaitwa Letter of credit, bill of landing, bank guarantee, ukivielewa hivyo hautauliza Hilo swali
Unataja vitu ambavyo hata waagizaji wa yeboyebo toka nje wanavijua, halafu unaona kama umetoa mchango ambao ni professional?Kama hujui international procurement procedure omba msaada wakueleweshe Kuna kitu kinaitwa Letter of credit, bill of landing, bank guarantee, ukivielewa hivyo hautauliza Hilo swali
Umejaribu kufikilia utapata faida kiasi gani ukiweka Tshs.1 trillion kwenye akaunti yenye riba 12% @????(;
Hujui kitu nyamaza. Mwambie huyo vuvuzela Zitto aende bungeni akaongelee huo upuuzi wake ili apewe vidonge vyake apone.Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi!
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii si ya kupuuza..
Hata wewe hujui kuchambua ripoti ya CAG mpaka uchambuliwe na msaliti Zitto?Hizo ni deal za mzalendo, na akisikia hilo linasemwasemwa anapata hasira kwelikweli. Hapo gazeti lolote litakaloandika hiyo habari lijiandae kufanyiwa mizengwe.
Basi mwambie apeleke kwa mabwana zenu Mabeberu!Kwani kuna Bunge awamu hii?
Dah watu mnajitoa na nyuso mnaweka kabisa?naapa nitaitumikia jmt kwa moyo wangu wote nitairinda na kuitetea katiba ya jmt
na pia nitahakikisha nawamaliza wachagga wote serikalini na kuwaingiza wasu.kumma
kwakua hii ni zamu yao ee mwenyezi nisaidie
Ndiyo lugha yetu mamaHivo nyie wanasiasa mchwara wa Chadema, hamkulijua hili siku zote, na hata hamkuisoma ripoti ya CAG, mpaka Mwami Zitto aisome na aifanyie translation kwa ile lugha ya Chekechea mnaoyoimudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili shamba la bibi kila mwenye nguvu anakula kwa urefu wa kamba yakeNionavyo mimi usijekuta ndege zote zimenunuliwa kwa fedha binafsi, kuna siku atasema ni mali binafsi na ATCL ilikodi tu kwake!!!
Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi!
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii si ya kupuuza..
Unatakiwa umweleweshe la sivyo hoja yake itabaki kuwa na mashikoKama hujui international procurement procedure omba msaada wakueleweshe Kuna kitu kinaitwa Letter of credit, bill of landing, bank guarantee, ukivielewa hivyo hautauliza Hilo swali
Tumezoea hakuna jipya ni hao hao wa siku zote angekuwa mtawala ni chadema kaiba tungeshangaa ila Ccm lini iliwahi kuwa safi?Mshapigwa muda sana