Ilikuwa nife jioni hii ya leo!!!

Ilikuwa nife jioni hii ya leo!!!

Upuuzi na uongo. Yani leseni tu ndo ukimbie polisi? Watu wenyewe wameruhusiwa kuchukua buku 5 za kufuta vumbi? UONGO ULIOPITILIZA
Tangu uzaliwe hujawahi kuona dereva akiwakimbia polisi sababu ya leseni? Huenda hili wanalijua watu wanaohusika na haya mambo na sio kila mtu.
 
Pole sana, nadhani umejifunza hutakiwi kuwakimbia polisi hasa wa zama hizi za "hapa kazi tu"
 
Soma tena halafu uelewe kwanza maana ni wengi wametoa mtazamo wao kwa namna walivyotaka na sikupingana nao, hivyo jiulize una nini kichwani mwako? Ukishindwa hivyo soma tu hata kichwa cha habari unaweza pia kujua mada imeelemea wapi! Hakuna nilipojisifu wala kulaumu zaidi ya kuonyesha kujutia haswa mwishoni mwa uzi wangu....umeona sasa? Je bado nikuone una akili kwa kuzidi kuniandama? Kama wewe ni mzee basi niseme tu kama Taifa lina wazee wa aina yako basi ndiyo mliotufikisha hapa kwa woga wenu wa kuogopa Mamlaka kupita kiasi.
Unadhihirisha kuwa kichwa chako bado kina ukakasi kujisifu si lazima uandike kuwa najisifu kwa kukimbizana na polisi,ila maandishi yako na ujumbe unaouandika unadhihirisha umeandika kwa lengo gani..kua kiakili pia siyo kimwili peke yake..unaejiita "mtoto wa mjini" neno la kizamani sana huwa wanalitumia wasiojitambua
 
Akhsante mkuu, ilikuwa mbaya sana maana kadri gari nilivyoitembeza mpaka kumaliza kisahani, ndipo wao walipopata wazo la kutushambulia kwa risasi.

Hakika ningejua yasingefika hayo ila maisha kwa maisha ndiyo ya mwanamume.
Hata wewe ungekuwa polisi lazima ungejiuliza, huyu mtu ana nini cha kuficha mpaka atukimbie kiasi cha kuhatarisha maisha. Kwa zama hizi si vizuri kuwapa polisi sababu.
 
Am sorry bana... ndio maana nikasema usichukie.. i know umepata matatizo, ila nilicheka sana, sbb nikasema atleast umejifunza polisi ni nani.. siku nyingine huwezi rudia.. jikaze sasa kiuanaume, maisha yanaendelea, stop thinking of the past, coz past has nothing to do with today and the future
Sijachukia mkuu na nashukuru kwa kunipa moyo.....kuhusu kucheka ni kawaida tu maana hata pale polisi walipotuachia na kutupa mkono wa pole tulijikuta tunacheka japo maumivu yalichukua nafasi yake.
 
Unadhihirisha kuwa kichwa chako bado kina ukakasi kujisifu si lazima uandike kuwa najisifu kwa kukimbizana na polisi,ila maandishi yako na ujumbe unaouandika unadhihirisha umeandika kwa lengo gani..kua kiakili pia siyo kimwili peke yake..unaejiita "mtoto wa mjini" neno la kizamani sana huwa wanalitumia wasiojitambua
Mkuu una mengine au ni haya haya?
 
Akhsante mkuu, ilikuwa mbaya sana maana kadri gari nilivyoitembeza mpaka kumaliza kisahani, ndipo wao walipopata wazo la kutushambulia kwa risasi.

Hakika ningejua yasingefika hayo ila maisha kwa maisha ndiyo ya mwanamume.
Pole sana mkuu vp uliwapa ngapi mkayamaliza?
 
Hajakataa iwapo kafanya kosa na amesema wazi kama ameleta kama funzo, sasa unataka nimwandame kama tunasutana? Muhimu ni kuangalia aliyamalizaje na usimuandame mtu kama kakuchangisha mchango au ameomba ukamchukulie dhamana.
Swala si kuchangisha mchango mana mi hanihusu ila kaleta hapa kama changamoto lakini katika uletaji wa habari wenyewe umejaa tambo nyingi so lazima aambiwe ukweli na kwa vile alikuwa akiendesha gari yupo na watoto na hao mafundi(kabeba roho za watu) mtu wa namna hiyo unaona alikuwa anaitakia mema familia yake kweli mtu kama una familia kwenye gari lako huwezi fanya ujinga kama huo labda uwe peke ako..
 
Pole sana, nadhani umejifunza hutakiwi kuwakimbia polisi hasa wa zama hizi za "hapa kazi tu"
Nimejifunza pakubwa sana mkuu....nakumbuka jamaa waliponiambia kwa sauti ya kimamlaka 'MIKONO JUU' na pia nakumbuka waliposema "hujasikia wenzako tuliwapiga risasi juzi mara baada ya kukataa kusimama" nadhani ni lile tukio la Wale wasanii waliouwawa Kange Tanga.
 
Hata wewe ungekuwa polisi lazima ungejiuliza, huyu mtu ana nini cha kuficha mpaka atukimbie kiasi cha kuhatarisha maisha. Kwa zama hizi si vizuri kuwapa polisi sababu.
Kabisa kabisa mkuu, nadhani pale walijadiliana mengi na kuona wanifukuze huenda nina jambo la ziada, njia ile ndiyo inayohusika na mambo ya ugaidi, mirungi toka Kenya na pia magendo mbali mbali.
 
Ndugu hukutumia busara. Kwani leseni iliyoisha muda wake ina gharama sawa za maisha ya watu wote hao? Ukizingatia eneo unalozungumzia ni Amboni, kumekuwa na mambo kadhaa yasioeleweka katika mji huo, halafu hutii amri ya kusimamishwa, kwa vyoyvyote ungeeleweka vibaya.
 
Pole sana aiseee, unajua hawa maafande wameshatujengea mentality ya kuumizana wakikukuta na kakosa kadogo ndio maana huwa tukikamatwa nao tunajua tu lazima tuchomolewa mshiko, kitu ambacho sometimes huwa si kweli.

Kama wangekuwa watenda haki always tusingekuwa tunawakimbia hovyo hovyo hivi.
 
Ndugu hukutumia busara. Kwani leseni iliyoisha muda wake ina gharama sawa za maisha ya watu wote hao? Ukizingatia eneo unalozungumzia ni Amboni, kumekuwa na mambo kadhaa yasioeleweka katika mji huo, halafu hutii amri ya kusimamishwa, kwa vyoyvyote ungeeleweka vibaya.
Awali sikuona dalili yeyote ya kufuatwa nilijua watachukua namba ya gari tu.
 
Pole sana aiseee, unajua hawa maafande wameshatujengea mentality ya kuumizana wakikukuta na kakosa kadogo ndio maana huwa tukikamatwa nao tunajua tu lazima tuchomolewa mshiko, kitu ambacho sometimes huwa si kweli.

Kama wangekuwa watenda haki always tusingekuwa tunawakimbia hovyo hovyo hivi.
Ni kweli mkuu....na hii imechangiwa na kuwahi kukamatwa siku za nyuma kama miaka miwili iliyopita nikiwa maeneo hayo hayo na nilisimama vema tu na wakanikagua, leseni ilikuwa sawa, gari ilikuwa imekamilika na pia sikuwa na matatizo yeyote ndani ya gari.

Kwenye kioo cha mbele kulikuwa na ufa mdogo na hapo ndipo ligi ilipoanza kuwa nilipe faini, tulilumbana sana na askari hao kama saba na mwisho wakaniambia nichague moja niache gari au leseni.....walizuia funguo na nikakaa hapo si chini ya masaa mawili na mwisho wake wakachukua leseni na mimi nikaondoka na gari mwenyewe kuipeleka kituoni.

SASA UKING'ATWA NA NYOKA UKIONA JANI UNASHTUKA
 
Mkuu pole sana,ila hongera kwa kupost maana pamoja na kipigo lakini ukaona ututahadharishe wenzako.
 
Pole sana mkuu vp uliwapa ngapi mkayamaliza?
Ni faini ya kuwakimbia tu....na baada ya kuhakiki tulikuwa wema kwa kuichangua gari kila mahali ilibidi waripoti katika radio call kuwa hatuna 'mzigo' (maana habari zilishaenea kwa simu ya upepo ili waongezewe vikosi na nguvu zaidi) wakuu wakasema waachieni iwapo wapo sawa.
 
Hili la dada umelitoa wapi? Umejiona sasa usivyo na akili kichwani na kukurupuka? Acha uoga mtoto wa kiume sisi watu wa masafa hii ni kitu ya kawaida ila tu nimeleta hapa ili watoto wamama kama wewe wajue inawezekana pale inapobidi.
Yaani bado unajiona wa kiume kwa kuhatarisha maisha ya mwanao kisa leseni?? Mtu wa masafa yupi anaekimbia polisi?? Masafa na karina??? Masafa kutoka dar mpaka tanga?? Masafa leseni inaishaga??? Acha kujisifu ujinga wewe. Masafa hujui Hali ya kiusalama ya tanga??? Hujui ulivyomwathiri kisaikolojia mwanao... Ni mpaka utakapomgombeza akikosea halaf akuambie baba nitakuitia polisi sasa hivi... Ndo utajua ulifanya upumbavu. Eti masafa halaf unasikiliza mafundi wanakwambia kula kona....fundi mwenyewe hata sehewa hana. Yaani bwashe umezingua pumbavu kabisa.
 
Back
Top Bottom