Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Wewe mwanamke acha ujinga kwenye mambo ya msingi masuala ya maandamano hapa tena yanatoka wapi.

Na kwa taarifa yako hayo maandamano sidhani kama mtaweza kuyafanyaaa naaapa kabisaaa hayatoweza kufanyika na wewe utakuwa shahidi hapa kuwa dottoz aliandika.

Nakuambia tenaaa maandamano hayatafanyika na hata yakifanyika mtakijua nini kitatokea mtavunjwa miguu na mimi nitasupport mvunjwe miguuu woteeeeeee hata muuliwe tu maana mtaharbu amani ya Tanzania yetu.

Asante na meseji sent and delivery....
Nawewe utakuwa wa kwanza kuharibu nchi!!
 
Haya basi,Kufa ni lazima.
Its the most certain thing a human being can be sure of.Alafu alilazwa siku nyingi.Amefariki kwa Typhoid.Just a natural death.Sidhani kama alikuwa na madhara tena kwenye biashara ile.Alidrop akaanza kujisogeza karibu na ibada.She was targeted alipokamatwa south.So hakuwa mtu sahihi tena kumpa kazi.
Baada ya kudrop,aliokuwa nao kwenye mtandao wangeamini vipi kama asingetoa siri popote?Hata hivyo ni hisia tu na kuunganisha dots hakuna ajuae hasa kilicho nyuma ya pazia
 
Mizaha ya Humu usiichukuli siriasi ...wewe huuu ni mtando unaweza ukawa unachati na Babako na wote mpo hapo ukumbinibkwenu na msifahamiane.

Usipende kukasirikia vitu vya humu...wengine Majini na Roboti zinaandika

Tu.

Kafanye usafi pale Dukani kwako leo Jmos
Asante kwa ushauri ila bado unaweza kujifunza kitu ktk yale maoni yangu.
Aidha hata kama angekuwa baba yangu najibizana nae ningemuona wa hovyo sana. Baba gani anakosa busara ya kawaida kama hii. Kuhusu usafi siko Dar, huku kwetu Pwani hatuna huo utaratibu wa Jumamosi. Sisi usafi ni kila siku tenaindividually pasipo kufosiana.
 
Lakini Kesi ilishaishaaa na Alishahukumiwaa... Labda kama baada tu hukumu yake kuna watu aliwatajaa wakaanza kuitwaa polisi...!! Ni suala gumu sanaa kuamini aisee... Apumzikee kwa Amani
 
Wewe mwanamke acha ujinga kwenye mambo ya msingi masuala ya maandamano hapa tena yanatoka wapi.

Na kwa taarifa yako hayo maandamano sidhani kama mtaweza kuyafanyaaa naaapa kabisaaa hayatoweza kufanyika na wewe utakuwa shahidi hapa kuwa dottoz aliandika.

Nakuambia tenaaa maandamano hayatafanyika na hata yakifanyika mtakijua nini kitatokea mtavunjwa miguu na mimi nitasupport mvunjwe miguuu woteeeeeee hata muuliwe tu maana mtaharbu amani ya Tanzania yetu.

Asante na meseji sent and delivery....

Kama hayata fanyika wewe unaumia nin? Acha kuwa kama bashite
 
JamiiForums naomba msiunganishe uzi huu na zile nyingine nyingi zilizoripoti kifo cha Agnes Masogange... Maudhui yake ni tofauti kabisa

Kuna kitu kinaendelea lakini bado hakijawa wazi sana... Ngoja mshtuko wa habari za kifo utulie... Kuna mengi yatajitokeza......
Wiki iliyopita kuna binti aliuawa gesti Chalinze... ALINYONGWA.... Lakini muda mchache kabla ya mauaji kufanyika alipigiwa simu na ndugu yake wakati wauaji wakiwa tayari chumbani kwake... Akiwasiliana kilugha na huyo ndugu yake alimwambia kuna wanawake wanne wamemvamia chumbani lakini watatu anawafahamu
Baada ya hapo simu zake hazikupatikana tena! Maiti yake iligundulika siku ya pili... Katika kufuatilia undani wake ikaonekana alikuwa kwenye mtandao wa biashara ya madawa ya kulevya... Na kulikuwa na tatizo kati yake na hao wauaji wake... Hii ilitokana na mawasiliano yaliyofumwa kwenye simu yake
Mchana wa siku aliyouliwa kulikuwa na majibizano kwa njia ya maandishi
Yeye aliandika kuwa kwakuwa wao wamemwaga mboga basi yeye atatoboa sufuria kabisa... Naye akajibiwa kuwa.. Hatasubiri afanye hivyo... Watamfuata huko huko juu.....

Baada ya mazishi kaka yake mmoja akapigiwa simu kupewa pole na kuambiwa kila kilichotokea pale msibani mpaka kuzika... (Kwahiyo wauaji walikuwepo msibani) kisha akaambiwa kuwa MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI
Baada ya kama siku tatu za mauti yake binti mwingine akakutwa kauliwa kwa kuchomwa visu mwili mzima (alikuja Kutambuliwa kama mmojawapo aliyeshiriki mauaji ya kwanza), na mwingine naye akaponea chupuchupu akiwa keshakula visu vya kutosha na sasa hajulikani alipo
Scenario nzima inaonesha ni mauaji ya visasi kati ya makundi mawili na kuna kitu kikubwa kinafichwa!!!!
Ni vigumu kwasasa kulink kifo cha Agnes na hayo mauaji mengine lakini tayari kuna watu wameshaanza kutuhumiwa. ..
Agnes Masogange amekuja kuwa maarufu zaidi baada ya kuja kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya... Tuhuma dhidi ya madawa ya kulevya zilipelekea akamatwe na kufunguliwa kesi... Ni juzi tu hapa mwezi uliopita alikutwa na hatia na kuhukumiwa kulipa faini au kifungo... Alinusurika kifungo kwa kulipa faini iliyolalamikiwa na wengi
Mabush lawyer wengi walisema kuwa kesi kama ile kama huna watu wazito nyuma yako unaondoka na maji...

Kwanini kifo chake kimeacha mashaka!?
Mitandao ya hizi biashara haramu., haipatani kabisa na kitu kinaitwa polisi... Kwa baadhi ya nchi watuhumiwa hufuatwa na kuuliwa huko huko jela au mahabusu
Masogange akiwa tayari kwenye spotlight ya polisi... Nini ingekuwa future yake!? Kumbuka ni vigumu tena kumtumia kwenye hiyo biashara.. Tayari ana file.. Hivyo keshakuwa ndege mweupe!
Lakini je anafahamu mangapi!? Je hawezi kuropoka?!?
Je ni nani aliyekuwa tayari kugharamia maisha yake ya anasa wakati sasa hawezi tena kuzalisha!?
Risk ni zipi akiachwa hai?
Risk ni zipi akinyamazishwa!!?
Je baada ya kesi kwisha alikuwa na madai kwa washirika wake kibiashara!?
Kifo hupangwa na Mungu kwa wale waamini.. Lakini nyuma yake kuna sababu za kifo... Naamini siku moja ukweli utajulikana
RIP ⚰ Agnes!
Grt thinker!
 
Mm naona Agness amekufa kama watu wengine wa kawaida ....tukizungumzia kuhusu kuuza madawa ..mm naona wengi wanauza tena sana.

Kwaiyo kuuza madawa nimoja ya harakat za kimaisha Japo sio Rasmi.

Tuache watu waishi maisha wanayoyataka ...kwani kama kifo kipo tu uwez kukikwepa . As If utumii madawa na kuuza.


Mshana Jr umeeleweka lkn sio sawa kumdis Late Agnes
Mngekuwa walau mnajikita kuangalia theme ya mtoa maada mngegundua kuwa hiki kifo kinauwezekano mkubwa wa mtandao wa madawa.

Huenda ikawa kati ya wale watatu aliowafahamu yule binti aliyekufa mwanzo huenda Agness alikuwa miongoni mwao

Kuwa alikuwa ameacha siku nyingi na akawa mtu wa ibada haina mashiko kwa kuwa hata walioko makanisani pia ni drug dealers wazuri tu.

Kusema ni kifo cha kawaida kwa kuwa wengi wanauza hayo madawa pia haina mashiko kwa sababu huyu inawezekana threat yake kwa aliokuwa anafanya nao biashara ni kubwa na huenda either angeishia kuwataja ama pia ni kisasi kwa mauaji yaliyopita kama mtoa maada alivyoeleza.

Lakini pia ngoja tuwe na subira tutapata report iliyokamilika. Kama ni typhoid tunayoijua tutasikia, kama ni pandikizi la typhoid tutasikia, kama ni sumu ya kumuua taratibu tutasikia a lot of predictions zitaleta moja ya ukweli
R.I.P
 
I think the answer is walikuwa wanasubiri ile case ipoe. Why? Because wange strike wakati kesi bado ya moto, mashaka yangeendelea kuongezeka na pressure ya kesi ingezidi kukua.
So the only option left, ni ku strike katika muda ambao not even muhusika anatarajia, katika muda ambao hiyo kesi imepoa ...
Umenena
 
JamiiForums naomba msiunganishe uzi huu na zile nyingine nyingi zilizoripoti kifo cha Agnes Masogange... Maudhui yake ni tofauti kabisa

Kuna kitu kinaendelea lakini bado hakijawa wazi sana... Ngoja mshtuko wa habari za kifo utulie... Kuna mengi yatajitokeza......
Wiki iliyopita kuna binti aliuawa gesti Chalinze... ALINYONGWA.... Lakini muda mchache kabla ya mauaji kufanyika alipigiwa simu na ndugu yake wakati wauaji wakiwa tayari chumbani kwake... Akiwasiliana kilugha na huyo ndugu yake alimwambia kuna wanawake wanne wamemvamia chumbani lakini watatu anawafahamu
Baada ya hapo simu zake hazikupatikana tena! Maiti yake iligundulika siku ya pili... Katika kufuatilia undani wake ikaonekana alikuwa kwenye mtandao wa biashara ya madawa ya kulevya... Na kulikuwa na tatizo kati yake na hao wauaji wake... Hii ilitokana na mawasiliano yaliyofumwa kwenye simu yake
Mchana wa siku aliyouliwa kulikuwa na majibizano kwa njia ya maandishi
Yeye aliandika kuwa kwakuwa wao wamemwaga mboga basi yeye atatoboa sufuria kabisa... Naye akajibiwa kuwa.. Hatasubiri afanye hivyo... Watamfuata huko huko juu.....

Baada ya mazishi kaka yake mmoja akapigiwa simu kupewa pole na kuambiwa kila kilichotokea pale msibani mpaka kuzika... (Kwahiyo wauaji walikuwepo msibani) kisha akaambiwa kuwa MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI
Baada ya kama siku tatu za mauti yake binti mwingine akakutwa kauliwa kwa kuchomwa visu mwili mzima (alikuja Kutambuliwa kama mmojawapo aliyeshiriki mauaji ya kwanza), na mwingine naye akaponea chupuchupu akiwa keshakula visu vya kutosha na sasa hajulikani alipo
Scenario nzima inaonesha ni mauaji ya visasi kati ya makundi mawili na kuna kitu kikubwa kinafichwa!!!!
Ni vigumu kwasasa kulink kifo cha Agnes na hayo mauaji mengine lakini tayari kuna watu wameshaanza kutuhumiwa. ..
Agnes Masogange amekuja kuwa maarufu zaidi baada ya kuja kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya... Tuhuma dhidi ya madawa ya kulevya zilipelekea akamatwe na kufunguliwa kesi... Ni juzi tu hapa mwezi uliopita alikutwa na hatia na kuhukumiwa kulipa faini au kifungo... Alinusurika kifungo kwa kulipa faini iliyolalamikiwa na wengi
Mabush lawyer wengi walisema kuwa kesi kama ile kama huna watu wazito nyuma yako unaondoka na maji...

Kwanini kifo chake kimeacha mashaka!?
Mitandao ya hizi biashara haramu., haipatani kabisa na kitu kinaitwa polisi... Kwa baadhi ya nchi watuhumiwa hufuatwa na kuuliwa huko huko jela au mahabusu
Masogange akiwa tayari kwenye spotlight ya polisi... Nini ingekuwa future yake!? Kumbuka ni vigumu tena kumtumia kwenye hiyo biashara.. Tayari ana file.. Hivyo keshakuwa ndege mweupe!
Lakini je anafahamu mangapi!? Je hawezi kuropoka?!?
Je ni nani aliyekuwa tayari kugharamia maisha yake ya anasa wakati sasa hawezi tena kuzalisha!?
Risk ni zipi akiachwa hai?
Risk ni zipi akinyamazishwa!!?
Je baada ya kesi kwisha alikuwa na madai kwa washirika wake kibiashara!?
Kifo hupangwa na Mungu kwa wale waamini.. Lakini nyuma yake kuna sababu za kifo... Naamini siku moja ukweli utajulikana
RIP ⚰ Agnes!
Nimekuelewa sana na nadhani upo sahihi. Kifo anapanga Mungu ila vipo vifo vingine lazima tujiulize kidogo. Halaf katika kupita pita mitandaoni yasemekana alikuwa anasumbuliwa na pumu ugonjwa ambao hakuwahi kuwa nao kabla......
 
Mama Sabrina,na Ww unayo ndombolo kochokocho kama ya marehem...hahahahahahaaaaaaaa unaponunua kondoo lazma uangalie mkia
The biggest the tail the highest the price,kumbe mikia mingine tayar ilishaharibika!
Kumbe mkia una soko eeh
 
Back
Top Bottom