goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Huyu jamaa ndo anajua kuzicheza.
Huyu ndo kazaliwa kwa biashara hizi sio hawa wengne wanafuata mikumbo tu.
Ukitaka ufanye biashara hizi kuwa mafia na ujipange kimkakati na ujue mambo yakiharibika ufanye nini ukwepane na hawa jamaa na usiwepo kwenye Target yao endapo mambo yamekuharbikia.
Ndo maana unakuta wengne mambo yakiharbka wanasepa fasta mjini wanaenda kuanza maisha yao mapya mikoa mingne tena vijijini tanzania kubwa sanaaaa hii....
Kama mimi kuna sehemu Tanzania hii hii nikikupeleka sehemu unaweza hisi haupo tanzania kumbe upo tanzania na unaanza maisha yako mapya na unabadr kila kitu ili kupoteza Target zao.
Ukiingia huko unaingia kwenye UMAFIA UMAFIANI
kumbeeee... Endelea kufafanua bosi.

