Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Hivi hicho kifo ni kitu cha ajabu sana kiasi kwamba wa Tanzania au tuseme wana Darisalam kuahamishie akili zetu natural thing kiasi kwamba tunasahau 1.5 trillion ?? Tunasahau 26.4
Kama tumemsahau vuvuzela Wa ufipa aliyepigwa risasi na akwilina itakuwa trilioni 1.5? Tupo na masogange akitokea mwingine upepo unahama akili zetu tunazijua wenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unaingia tu kusoma dada kaweka nini unatoka. Mwenyewe dada nimemfollow kwa fake account
Kwa nini utumie fake account?unamugopa nani?
 
Natega macho mkuu. Kaka mshana, hii habari anayoiandika mkuu Chahal Evarist inanitisha sana. Natamani unipe uchambuzi japo kidogo. Naomba kwako kwa sababu ya imani yangu kwako.
Chahali kaandika nini mkuu???
Naomba ushee hapa hata link.
 
Kwenye ishu za unga zinakua kazi sana kuzi solve maana hata vyombo vya usalama vinakua kwenye payroll ya hizo gangs.

Naamini huyo binti alikua amewekewa taa nyekundu na ilikua lazima awe neutralized.
Interests za watu zilikua hatarini.

Hata hapo dsm kuna high ranking official ana affiliations na wazungu wa unga au Inawezekana yupo kwenye payroll au naye ni Don. Kuna kipindi alijifanya kuanzisha operation fulani hivi ambayo kimsingi ililenga kutoa washindani nje ya biashara.
.........
 
Mjomba!Nasemaje waacheni watu wafe kwa amani.Maandamano yasiwe chanzo cha kusimamisha any natural creation.Death is natural.
Hata tukijamba sasa itakuwa tunataka kuwatoa kwenye reli.
Ms Lincoln
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom