Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

kanyimwa unyumba.
Stress kibao
Ehehhehe akuache shoga angu kabisaa
Mtoto wa Masogange
Screenshot_2018-04-21-10-38-52.jpg
 
Uliyosema ni kweli 100% Angefungua mdomo wangapi wangeokoka? Sema hivi bado nchi yetu ina watu Untouchable ambao wanaweza fanya lolote lakini polisi, takukuru au mtu yeyote akafumba macho. Huyu binti kweli alikaa kimya miaka hii yote tangu atoke SA?
Kumbuka akina Al Capone kule US walivyokuwa wakinyamazisha gang member wa upande wa pili. Madawa ni sensitive issue siyo tu TZ bali dunia nzima. Ukishaingia ujue roho yako umeikabidhi kwenye gang.
Bora wakuchome ZIP kuliko kukudanjisha.
 
Natega macho mkuu. Kaka mshana, hii habari anayoiandika mkuu Chahal Evarist inanitisha sana. Natamani unipe uchambuzi japo kidogo. Naomba kwako kwa sababu ya imani yangu kwako.
Nimeisoma inatisha.... Haiko vizuri sana kuileta na kuijadili hapa iko very sensitive....
 
Mjomba!Nasemaje waacheni watu wafe kwa amani.Maandamano yasiwe chanzo cha kusimamisha any natural creation.Death is natural.
Hata tukijamba sasa itakuwa tunataka kuwatoa kwenye reli.


Na wewe unajambaga???
 
What? Typhoid?

Weka ID namba ya clinical laboratory ambayo ina repoted result kuwa alikuwa na Typhoid.

Laa sivo bora ukae kimya kama hujui tu.
bwana we,hilo ndilo jambo la kwanza marafiki wake wa karibu walivyosema.Na baadhi ya blog walireport hivyo.Hata kama kafa kwa kurogwa keshakufa.Mimi siye doc wake.Wanaosema pumu pia wamekuonyesha cheti?
 
Hapa ndipo ninapozimaga fegi kwa Mshana Jr, namuamini sana huyu jamaa kwa kukokotoa dot. Sijawahi kuupita uzi wake humu kundini.
 
Maybe alikuwa akiyaanda mapito yake. Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu ipumzike kwa amani amina.
 
bwana we,hilo ndilo jambo la kwanza marafiki wake wa karibu walivyosema.Na baadhi ya blog walireport hivyo.Hata kama kafa kwa kurogwa keshakufa.Mimi siye doc wake.Wanaosema pumu pia wamekuonyesha cheti?
Ndo maana nkasema kama hujui bora kuwa kimya mama yoyo.

Au wataka kila kitu kiwekwe wazi?
Acheni michezo enu basi.

Ukipigwa formalin ktk veins utapona?
Pumu inauaje?.
 
Nafanyaje? Niendelee kuchungulia tu kwa Chahali nione mwisho wa movie. Ila natamani nimpigie mkulu nimwambie aisome.
Kwa sasa kwenye hilo ngoja tuwe ndugu watazamaji zaidi.. Tusije kuwa mbuzi wa kafara
 
Chief hawa hawajui juju aka kombora sizizoonekana.

Halafu kitambo sanaa sijatest mitambo mpaka nahisi nimepotelewa na ufundi.

Haya maisha ndo shida.
😀 😀 😀 :
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom