Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,441
Asante kwa usahuri mkuuKwa sasa kwenye hilo ngoja tuwe ndugu watazamaji zaidi.. Tusije kuwa mbuzi wa kafara
Asante kwa usahuri mkuuKwa sasa kwenye hilo ngoja tuwe ndugu watazamaji zaidi.. Tusije kuwa mbuzi wa kafara
Aiseeee basi wataoana huko waliko sasa hivi, maana haiwezekani wazaliwe siku moja na wafe siku mojaMkuu Mshana Jr tukiachana na hizo habari za ngada kuna jamaa anaitwa Avicii alikuwa ni mwanamuziki Dj maarufu kutoka huko Sweden.
Huyu jamaa pia amefariki jana huko Muscat Oman, yani amefariki tarehe moja na Masogange ila cha kushangaza pia wamezaliwa tarehe moja pia,,
Unaliongeleaje hili?
mimi nimeelewa vizuri saanaaaHivi kuna mtu hajaelewa kilichoandikwa?
Alijua yajayo nn ndo maana alijisogeza kwa Mungu.Haya basi,Kufa ni lazima.
Its the most certain thing a human being can be sure of.Alafu alilazwa siku nyingi.Amefariki kwa Typhoid.Just a natural death.Sidhani kama alikuwa na madhara tena kwenye biashara ile.Alidrop akaanza kujisogeza karibu na ibada.She was targeted alipokamatwa south.So hakuwa mtu sahihi tena kumpa kazi.
Daa mambo ya Neema za Allah waliojaaliwa maumbo makubwa makubwa mh!! shehe!!!,heri wangekufa wengine wasio na faida.Mola akayaacha haya maua ya dunia.
NimekuelewaKuna kitu kinaendelea lakini bado hakijawa wazi sana... Ngoja mshtuko wa habari za kifo utulie... Kuna mengi yatajitokeza......
Wiki iliyopita kuna binti aliuawa gesti Chalinze... ALINYONGWA.... Lakini muda mchache kabla ya mauaji kufanyika alipigiwa simu na ndugu yake wakati wauaji wakiwa tayari chumbani kwake... Akiwasiliana kilugha na huyo ndugu yake alimwambia kuna wanawake wanne wamemvamia chumbani lakini watatu anawafahamu
Baada ya hapo simu zake hazikupatikana tena! Maiti yake iligundulika siku ya pili... Katika kufuatilia undani wake ikaonekana alikuwa kwenye mtandao wa biashara ya madawa ya kulevya... Na kulikuwa na tatizo kati yake na hao wauaji wake... Hii ilitokana na mawasiliano yaliyofumwa kwenye simu yake
Mchana wa siku aliyouliwa kulikuwa na majibizano kwa njia ya maandishi
Yeye aliandika kuwa kwakuwa wao wamemwaga mboga basi yeye atatoboa sufuria kabisa... Naye akajibiwa kuwa.. Hatasubiri afanye hivyo... Watamfuata huko huko juu.....
Baada ya mazishi kaka yake mmoja akapigiwa simu kupewa pole na kuambiwa kila kilichotokea pale msibani mpaka kuzika... (Kwahiyo wauaji walikuwepo msibani) kisha akaambiwa kuwa MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI
Baada ya kama siku tatu za mauti yake binti mwingine akakutwa kauliwa kwa kuchomwa visu mwili mzima (alikuja Kutambuliwa kama mmojawapo aliyeshiriki mauaji ya kwanza), na mwingine naye akaponea chupuchupu akiwa keshakula visu vya kutosha na sasa hajulikani alipo
Scenario nzima inaonesha ni mauaji ya visasi kati ya makundi mawili na kuna kitu kikubwa kinafichwa!!!!
Ni vigumu kwasasa kulink kifo cha Agnes na hayo mauaji mengine lakini tayari kuna watu wameshaanza kutuhumiwa. ..
Agnes Masogange amekuja kuwa maarufu zaidi baada ya kuja kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya... Tuhuma dhidi ya madawa ya kulevya zilipelekea akamatwe na kufunguliwa kesi... Ni juzi tu hapa mwezi uliopita alikutwa na hatia na kuhukumiwa kulipa faini au kifungo... Alinusurika kifungo kwa kulipa faini iliyolalamikiwa na wengi
Mabush lawyer wengi walisema kuwa kesi kama ile kama huna watu wazito nyuma yako unaondoka na maji...
Kwanini kifo chake kimeacha mashaka!?
Mitandao ya hizi biashara haramu., haipatani kabisa na kitu kinaitwa polisi... Kwa baadhi ya nchi watuhumiwa hufuatwa na kuuliwa huko huko jela au mahabusu
Masogange akiwa tayari kwenye spotlight ya polisi... Nini ingekuwa future yake!? Kumbuka ni vigumu tena kumtumia kwenye hiyo biashara.. Tayari ana file.. Hivyo keshakuwa ndege mweupe!
Lakini je anafahamu mangapi!? Je hawezi kuropoka?!?
Je ni nani aliyekuwa tayari kugharamia maisha yake ya anasa wakati sasa hawezi tena kuzalisha!?
Risk ni zipi akiachwa hai?
Risk ni zipi akinyamazishwa!!?
Je baada ya kesi kwisha alikuwa na madai kwa washirika wake kibiashara!?
Kifo hupangwa na Mungu kwa wale waamini.. Lakini nyuma yake kuna sababu za kifo... Naamini siku moja ukweli utajulikana
RIP [emoji1019] Agnes!
utakuja kulipa boss??[emoji16]Kama uko juani tafuta sehemu yenye kivuli na upepo kisha tafuta Pepsi baridi
Wale wale waliokuwa wanamsema vibaya sana ndio hao hao saivi wanajifanya wana machozi mengi na huruma nyingi sana
Hivi hata wenzetu wenye ngoz tofaut na yetu wana unafiki kama huu ?Ni unafiki tu ndugu yangu