mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,254
- 4,466
Juzi kati hapo sisi Tanzania, tuliwaita wazungu Who are you! Siyo kwamba tunaweza kabisa kabisa kuwadunda, la sivyo, ila wajue tu kwamba, na sisi ni wanaume, na wakija juu watake kutupiga, tunazo meza kibao za mazungumzo ili tu tubaki kwenye uanaume wetu!
Inatosha kuwa mwanaume hata usipopigana na hizo nchi
Usipigane vita kutafuta kuitwa kidude kumbe hata udume ulio nao unatosha kukupatia heshima
Mara zote heshima ya mwanaume hupotea mara baada ya kulazimisha mambo ambayo bado huyamudu, huna uwezo nao
Tunachoshuhudia sasa, ni Iran kutafuta kuitwa kidume mbele ya mianaume iliyoshindikana
Kiburi bhana, kinashusha hadhi ya mtu
Wapenzi wa Iran mna nini la kuelezea udume wa Iran mbele ya mianaume ya hii Dunia?
Acheni kufananisha USA na upumbavu, Leo hii Iran inapoteza viongozi wake wote kisa kutaka cha juu na kisicho na faida yoyote hata asingekitaka
Mtu anapoizungumzia USA na washirika wake, anajaribu kuzungumzia ulimwengu huu wote
Acheni kuzipa vichwa nchi kama Iran kuwa zinauwezo kuzidi Japan
Ni ujinga
Inatosha kuwa mwanaume hata usipopigana na hizo nchi
Usipigane vita kutafuta kuitwa kidude kumbe hata udume ulio nao unatosha kukupatia heshima
Mara zote heshima ya mwanaume hupotea mara baada ya kulazimisha mambo ambayo bado huyamudu, huna uwezo nao
Tunachoshuhudia sasa, ni Iran kutafuta kuitwa kidume mbele ya mianaume iliyoshindikana
Kiburi bhana, kinashusha hadhi ya mtu
Wapenzi wa Iran mna nini la kuelezea udume wa Iran mbele ya mianaume ya hii Dunia?
Acheni kufananisha USA na upumbavu, Leo hii Iran inapoteza viongozi wake wote kisa kutaka cha juu na kisicho na faida yoyote hata asingekitaka
Mtu anapoizungumzia USA na washirika wake, anajaribu kuzungumzia ulimwengu huu wote
Acheni kuzipa vichwa nchi kama Iran kuwa zinauwezo kuzidi Japan
Ni ujinga