Don't stress yourself out that mad woman.@linguistics dadangu!
Hujasoma na kuelewa nilichoandika. Nimesema mwenye nguvu kubwa kiuchumi ni MUME! Mali alizoondoka nazo MKE kwa 90% zimenunuliwa na Mume. Hiyo inamaanisha Mke amechangia 10%.
Pia kumbuka mke ni mfanyakazi ila mshahara wake sio mkubwa. Vilevile ktk uzi wa kwanza nilisema alisomeshwa na mume. Nadhani unataka kuleta uanaharakati ktk eneo silo. Mke aliamua tu kwa hiari yake kupasha kiporo moto.
Labda na nadhani umenipata Mkuu
Bazazi!
Fantastic replyKama men are dogs ina maana na yeye alikua anapandwa na mbwa kila usiku? Je na yeye si atakua jibwa jike au?
Kwaa hiyo sasa hivi na nyie mnawaiga wanaume kufanya umalaya?Hatujifanyi. Sisi nao ni watu kama wanaume. No more no less. Kuna wanaume malaya wengi tu maana umalaya ni tabia
Me mwenyewe huyu,Dada nishaanza kumtilia Mashaka na huenda ameachika na anataka kila mdafa aachike na watakaofata ushuri wake imekula kwao,ndoa huwa hazina majivuno au maneno Makali Kama ya huyu Dada
Ulishaambiwa mwanamke ni kiumbe kinachoongozwa zaidi na hisia kuliko logic. Anaweza akawa analifahamu hili unalosema hapa lakini akaamua kulipuzia tu sababu hisia zake zinamwambia aende tu huko kwa huyo hawala yake hata kama asipomuoa sawa tu.Hakuna mwanaume mpumbavu anayeweza kuoa mwanamke aliyeachana na mumewe kwa ajili yake, kwa 7bu anajua na yey akmwoa atafanyiwa vilevile.. Wanawake tulien ktk ndoa zenu, hao maex kama waliwapenda mbna hawakuwaoa? Wanawasumbua baada ya kuolewa ili wapate uchi 'kwa mtelezo/bure'
Yaani hapo ndiyo umeona umejibu sasa!?Eheee!! Wanawake bwana! sasa kwani hujui ni nini kilichowaachanisha hao wanoongelewa kwenye hii mada? Au hujui ni nini kimewatenganisha na nani ambaye ni chanzo?
Kwenye hiyo sentensi yako ya pili unamaanisha kwamba mwanamke kuishi maisha ya kikahaba chanzo chake au sababu ni mwanaume au?
Halafu eti utakuta majitu kama wewe wenye reasoning mbovu ndio mmejazana pale dawati la jinsia mnasululisha migogoro ya wana ndoa. SHUBAMT
Yaani hapo ndiyo umeona umejibu sasa!?
Yaani wewe kumbe zero brain tu...huwa hujui hata kujadiliana unajibu jibu tu ili mradi umejibu au umeandika!!
Kwanini nani aliyesema kama hamtaki kuishi na mchepukaji msiolewe?! Si ni wewe,ndiyo nimekuuliza sasa kwani nani anataka kuishi na mchepukaji? kwanini nani alichepuka hapo na akili zako fupi? Kama huyu mwanaume hataki kuishi na mchepukaji na sisi vilevile hatutaki kuisji na wachepukaji...
Siku nyingine huwa unasoma na kuelewe ndiyo ujibu,usipende kubishana bishana na kila mtu unajishusha hadhi humu,unatukana kabisa kumbe wewe mwenyewe ndiyo SHUBAMTI
Acha kucheza kiliwanzenza hapa stick kwenye maudhui ya mada. Wewe na huyo mwenzako Linguistics tangu awali michango yenu imekaa kutupia lawama tu kwa wanaume huku mKim-vindicate huyo mwanamke mwenzenu. Sasa kwanini tusiwapinge wakati hamuoni tatizo lolote kwa huyo kahaba na mmekaa tu kushambulia wanaume?Wanaume wenzako wenye akili wameshanielewa hapo....
Hivi unaona kuishi maisha ya ovyo ni ukahaba tu?
Tatizo unapenda kila unachosema kionekane sahihi usilazimishe mambo kaka!
Wewe siyo muelewa,kubishana na wewe siwezi,maana hata kitu kidogo tu unataka kuzungushana na mtu....
K
Kuachana....
Then baada ya kuachana unafanya kihalali
Sasa wewe ndiyo usioe maana sisi hatuwezi kuwaoa,maliza ubachela wako kwanza ndiyo uoe.
Hayo ndo majibu yangu kwako sijui wapi namtetea huyo dada!?Halafu nani anataka kuishi na mchepukaji? Kwani kilichowaachanisha hao ni nini?
Badilikeni mnaumiza sana wake zenu na kuwapeleka kwenye maisha wasiyoyataka ...
Kumbe nzi akiacha ujinga anaweza akatengeneza asali enhh??Ukionja asali utachonga mzinga. Mtu unaweza sema unachepuka lakini utaheshimu ndoa, lakini ukapewa uno la kimataifa. Baadae unaona mumeo/mkeo fala tu.
To be on the safe side, tuache kuchepuka. Huwezi maliza radha za nyuchi zote.
HayaHayo ndo majibu yangu kwako sijui wapi namtetea huyo dada!?
Punguza mfumo dume siyo kila mada unayohusu mwanamke uje kumkandia.
Hapo hiyo badilikeni mnaumiza sana wake zenu,ndiyo wenye akili wamenielewa ni kwa vipi wanawake wanaumizwa na wanaume na kupelekea kuishi maisha wasiyoyataka, Hayo maisha siyo lazima yawe ya ukahaba(wanaume wenye akili tu na siyo wavulana ndiyo wataelewa hapo)
Kwahiyo mkuu mke kumruhusu mume wake achepuke ndiyo kuwa submissive??Dawa acheni kuolewa ili wanaume tuwatafune bila hofu yakuonwa vibaya na jamii,tupange mnavyoweza,nasisi tutakubali,ila tutaoa wale ambao wako tayari kuvumilia nakurekebishana ndani ya ndoa,nyie ambao hamuwezi kuolewa msiolewe ili tuwachakate vilivyo.Nina hamu na wadada ambao wanajifanyaga wanaharakati na hawataki kuwa submissive,yaani nawala bila hofu yakufumaniwa.Achika.
Unakwepa hoja tu!!Sasa mwanamke ambaye kukitikea shida ndani ya nyumba,anaona ananyanyasika nakuona a-opt kuwa single mother,mimi nimzuie wanini?Awe single mother wadau wamfakamie kwa uhuru bila hofu yakuwaza kua watakuja kufumaniwa.Mfano huyo aliyetoka kwa mhadhiri,awe tayari kuchakatwa na watu mbalimbali tena kwa uhuru,kikubwa namuomba asije akaleta picha mbaya kwa watoto kwani yawezekana wakawa wanashuhudia wanaume wa kila aina wakilala na mama yao,hivyo kuathirika kisaikolojia.
Mkuu nadhani wanaume ndiyo waache kudharau ndoa maana ndiyo wanaongozamaneno yako hayo ya sentesi ya Mwisho atakaye yafuata atapotea chunga sana hayo maneno yako na watu wenye maneno kama hayo sidhani kama wameolewa ndo unakuta ni hakimu au doctor hana Mme Kwa sababu ya ujuaji Mwingi
Kumbe nzi akiacha ujinga anaweza akatengeneza asali enhh??
Umalaya ulikuwepo kwa jinsia zote mbili tangu enzi za biblia hivyo hakuna jinsia inayoiiga jinsia nyingine, ujumbe hapa ni kwamba wanaume waache kujihalalishia umalaya maana hakuna jinsia inayotakiwa kufanya umalaya kwa sababu yoyote ile.Kwaa hiyo sasa hivi na nyie mnawaiga wanaume kufanya umalaya?
Ongeza sautiHahahaha, Kijo Bisimba tulia tulia.
Sema Uzinzi sio kitu cha kujisifia na wala sio sifa ya mwanaume. Basi tu huwa tunateleza, lakini hatutakiwi kujisifia.