Ile chupi ikaanguka mbele ya wote...

Ile chupi ikaanguka mbele ya wote...

Ha ha ha ha haaaa..nimecheka Sana, nimekumbuka mengi aisee.. mshana jr, miaka ya 80 ulikuwa unakojoa uji aisee?? Hahahaaaa..hakyanani!!

tena Eli 79 uji wenye uwezo wa kuvimbisha matumbo ya jinsia pinzani
 
Last edited by a moderator:
zamani ilikuwa kawaida,kuna kitu inaitwa mtungo,mtaani kwetu kulikuwa na njemba zinasifika kwa mtungo au mande!Sasa sijui sheria zilikuja baadaye au hazikuwapo sijui!

maisha yalikuwa poa sana ugonjwa mkubwa wa kuogopwa ulikuwa kaswende na gono ukipiga tetracycline zako 12 poa kabisa! condoms zilikuwa kama hekaya za kusadikika na ukimwi ulijulikana kama juliana
 
Ha ha ha sasa hiyo kyupi uliiokota ama uliiacha hapo sebuleni??
 
mshanajr hahaha mkuu hiyo ilikuwa noma
 
Last edited by a moderator:
Jf utamu hauishi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Stori ka yangu.
Ila yangu ni cover la condom. Nimerudi zangu home nikavua viatu naangalia taarifa ya habari..
Kumbe lile kasha la kondom lilidondokea kwenye kiatu. Wakati nimevua viatu sikuliona, nimekuja kuliona baadae kila mmoja amesambaa kwa aibu.
 
Stori ka yangu.
Ila yangu ni cover la condom. Nimerudi zangu home nikavua viatu naangalia taarifa ya habari..
Kumbe lile kasha la kondom lilidondokea kwenye kiatu. Wakati nimevua viatu sikuliona, nimekuja kuliona baadae kila mmoja amesambaa kwa aibu.

Duu hahahahaaa hii nayo kali
 
Si tunajaribu kuback dayz bhana???? Tena vya utu uzima vitamu sana,hata hivyo Vaislay wewe cyo mtu mzima yet coz you najua bado ni below 30.
Oooh kumbe watu wazima ni above 30?
 
Vichakani tena naona utamu huko hakuna ni kumwaga oil tu bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom