Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
- Thread starter
- #21
ILAANIWE SIKU NILIYOZALIWA - 17
Endelea nayo.
Martini alitetemeka kwa uwoga na kupiga kelele. " mwacheni mwananguuu nitawaua wote wanaharamu nyie" aliongea kwa sauti martini.
Sauti upande wa pili ikiwa imebadilishwa kwa programu maalum ilimjibu. " kama utatuua basi hakuna namna, itabidi tumbake mwanao hili hata kama utatua tuwe tumemfaidi mwanao"
" Hapana msifanye ivyo,niambieni mnataka nini mimi nitawapa.Semeni chochote ,Naomba mwacheni mwanangu tafadhali" aliongea martini na kulia kama mtoto mdogo.
" ok sawa,Acha kutufatilia .Achana na habari ya kifo cha rafiki yako baba helena,na achana kabisa na habari yako ya kunifatilia.Hili ni onyo la mwisho.Usipoelewa tutamfanyia mwanao unyama usiowahi kuhusikia"
" sawa ,sawa ,sawaaaa,sawa" martini alijibu huku akilia kuwa ataachana na upelelezi wake.Pale pale simu ilikatwa.
Mzee komba alimwambia yule kijana avae nguo na asimbake Husna.Walimvesha nguo husna kisha wakamfunga kitambaa machoni na wakampakia kwenye gari na kwenda kumshusha nyumbani kwake,kisha wakatokomea.
Martini aliapa kutofatilia tena kesi ya mauaji ya rafiki yake.Alilia kama mtoto akiwa chumbani kwake.Akiwa amelala kitandani huku akilia alimsikia mke wake akipiga kelele .
" mwananguuu,mwanangu" aliongea mama husna na kumkimbilia mwanae na kumkumbatia.Martini alisimama na kutoka nje.HAkuamini macho yake.Mwanae alikuwa mzima wa afya.
Martini alijiapiza kutofatilia tena ile kesi.Alimkumbatia mwanae na kuingia nae ndani.
............
Majira ya saa moja usiku,Shabaan alikuwa amepanga kukutana na mzee komba.Mzee komba naye aliandaa vijana ili wamkamate na kumuua kabisa.
Mzee komba alifika sehemu waliyopanga kukutana .Muda ulienda lakini shabani hakuonekana.Walijaribu kumpigia simu lakini pia simu yake haikupatikana.
" mmm!h!,au atakuwa ameshatushtukia?" aliuliza mzee komba.
Waliendelea kukaa kwa muda mrefu bila shabaan kutokea.Walikata tamaa na kuamua kuondoka.
........
Siku zilienda miezi ilikatika bila shabaan kuonekana.Martini naye alikata tamaa kabisa,aliachana na kesi ya mauaji ya rafiki yake.Hakutaka hata kuisikia.
Alienda kwenye kaburi la baba helena na kumuomba radhi.
" nisamehe baba helena,nimeshindwa kumpata aliyesababisha kifo chako.Nisamehe sana.Nisamehe kwakuwa nimeamua kuacha kabisa kumtafuta.Nimefanya hivi kwa usalama wa mwanangu."aliongea martini huku machozi yakimtoka.
......
Kitendo cha shabaan kutoonekana kwa muda mrefu kilimpa wasiwasi mzee komba.Alipata wasiwasi kwasababu Shabaan alikuwa anajua mambo yake mengi.Alihisi labda siri zake nyingi zitakuwa wazi.ili kukabiliana na ilo akaamua kusimamisha shughuli zake kwa muda kwanza ili kupeleleza na kujua nini kinaendelea.
....
Kwa upande wa helena aliendelea kujifua pamoja na kundi la al sha baab.Alifanya mazoezi kwa nguvu zote.Kila alipokumbuka jinsi alivyotendewa alikuwa anaenda kufanya mazoezi kwa nguvu zote ili kupunguza mawazo.Alijiapiza kuja kuwachinja wale wote waliomtendea ubaya .Tangu siku ile aliyomuona joel hakumuona tena.Joel alikuwa kwenye kambi nyingine tofauti na yeye.
Ujasiri wake uliwafanya viongozi wa al sha baab wampende.Walikuwa wanamuita dada shujaa.uwezo wake ulikuwa ni mkubwa sana.Alikuwa anauwezo wa kupambana na wanaume zaidi ya ishirini peke yake.Licha ya kupendwa kwa ujasiri wake lakini aliogopwa sana na wenzake kutokana na userious aliokuwa nao.Muda wote alikuwa amenuna ,alikuwa hacheki,alikuwa kauzu kweli kweli.
Aliwachukia sana wanaume.Aliwachukia zaidi hasa alivyowaona pale kambini jinsi walivyokuwa wanawakamata wasichana wadogo kijijini na kwenda kuwabaka.Aliapa kuja kuwaua wanaume wote.Aliwachukia sana,aliamini wao ndio chanzo cha uovu uliokuwepo duniani.
...
Miaka miwili ikakatika mzee komba akaamua kuanza tena biashara yake.Aliamua kubalisha wafanyakazi wake wote,na hii ilisababishwa sana na tukio la shaaban,alihisi pengine wapo wengine ambao walikuwa wanatumiwa na serikali.
Aliwatumia hela al sha baab wamletee vijana watatu wa kazi na mlinzi mmoja.Ahmed kiongozi wa al shaabab ,alimuandalia vijana watatu pamoja na helena ambae alitakiwa aende akawe mlinzi wa mzee komba.Kutokana na ujasiri wake waliona helena ndi mtu pekee mqenye sifa za kumlinda mzee komba.Walimwambia helena ambae sasa walikuwa wanamuita Shujaa H.Helena aliwakubalia bila kinyongo kwani alikuwa na hamu kubwa ya kurudi tanzania kulipa kisasi.
Al sha baab waliwasiliana na mzee komba na kumpa sifa za helena ambao wao walikuwa wanamwita shujaa H. Mzee komba alitamani kumuona kutokana na jinsi walivyomsifia.
" huyu madam H kwa sifa zake itabidi awe mke kabisa.Atakuwa mlinzi wangu lakini pia nataka awe mke wangu." aliwaza mzee komba.
Inaendelea hapa chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea nayo.
Martini alitetemeka kwa uwoga na kupiga kelele. " mwacheni mwananguuu nitawaua wote wanaharamu nyie" aliongea kwa sauti martini.
Sauti upande wa pili ikiwa imebadilishwa kwa programu maalum ilimjibu. " kama utatuua basi hakuna namna, itabidi tumbake mwanao hili hata kama utatua tuwe tumemfaidi mwanao"
" Hapana msifanye ivyo,niambieni mnataka nini mimi nitawapa.Semeni chochote ,Naomba mwacheni mwanangu tafadhali" aliongea martini na kulia kama mtoto mdogo.
" ok sawa,Acha kutufatilia .Achana na habari ya kifo cha rafiki yako baba helena,na achana kabisa na habari yako ya kunifatilia.Hili ni onyo la mwisho.Usipoelewa tutamfanyia mwanao unyama usiowahi kuhusikia"
" sawa ,sawa ,sawaaaa,sawa" martini alijibu huku akilia kuwa ataachana na upelelezi wake.Pale pale simu ilikatwa.
Mzee komba alimwambia yule kijana avae nguo na asimbake Husna.Walimvesha nguo husna kisha wakamfunga kitambaa machoni na wakampakia kwenye gari na kwenda kumshusha nyumbani kwake,kisha wakatokomea.
Martini aliapa kutofatilia tena kesi ya mauaji ya rafiki yake.Alilia kama mtoto akiwa chumbani kwake.Akiwa amelala kitandani huku akilia alimsikia mke wake akipiga kelele .
" mwananguuu,mwanangu" aliongea mama husna na kumkimbilia mwanae na kumkumbatia.Martini alisimama na kutoka nje.HAkuamini macho yake.Mwanae alikuwa mzima wa afya.
Martini alijiapiza kutofatilia tena ile kesi.Alimkumbatia mwanae na kuingia nae ndani.
............
Majira ya saa moja usiku,Shabaan alikuwa amepanga kukutana na mzee komba.Mzee komba naye aliandaa vijana ili wamkamate na kumuua kabisa.
Mzee komba alifika sehemu waliyopanga kukutana .Muda ulienda lakini shabani hakuonekana.Walijaribu kumpigia simu lakini pia simu yake haikupatikana.
" mmm!h!,au atakuwa ameshatushtukia?" aliuliza mzee komba.
Waliendelea kukaa kwa muda mrefu bila shabaan kutokea.Walikata tamaa na kuamua kuondoka.
........
Siku zilienda miezi ilikatika bila shabaan kuonekana.Martini naye alikata tamaa kabisa,aliachana na kesi ya mauaji ya rafiki yake.Hakutaka hata kuisikia.
Alienda kwenye kaburi la baba helena na kumuomba radhi.
" nisamehe baba helena,nimeshindwa kumpata aliyesababisha kifo chako.Nisamehe sana.Nisamehe kwakuwa nimeamua kuacha kabisa kumtafuta.Nimefanya hivi kwa usalama wa mwanangu."aliongea martini huku machozi yakimtoka.
......
Kitendo cha shabaan kutoonekana kwa muda mrefu kilimpa wasiwasi mzee komba.Alipata wasiwasi kwasababu Shabaan alikuwa anajua mambo yake mengi.Alihisi labda siri zake nyingi zitakuwa wazi.ili kukabiliana na ilo akaamua kusimamisha shughuli zake kwa muda kwanza ili kupeleleza na kujua nini kinaendelea.
....
Kwa upande wa helena aliendelea kujifua pamoja na kundi la al sha baab.Alifanya mazoezi kwa nguvu zote.Kila alipokumbuka jinsi alivyotendewa alikuwa anaenda kufanya mazoezi kwa nguvu zote ili kupunguza mawazo.Alijiapiza kuja kuwachinja wale wote waliomtendea ubaya .Tangu siku ile aliyomuona joel hakumuona tena.Joel alikuwa kwenye kambi nyingine tofauti na yeye.
Ujasiri wake uliwafanya viongozi wa al sha baab wampende.Walikuwa wanamuita dada shujaa.uwezo wake ulikuwa ni mkubwa sana.Alikuwa anauwezo wa kupambana na wanaume zaidi ya ishirini peke yake.Licha ya kupendwa kwa ujasiri wake lakini aliogopwa sana na wenzake kutokana na userious aliokuwa nao.Muda wote alikuwa amenuna ,alikuwa hacheki,alikuwa kauzu kweli kweli.
Aliwachukia sana wanaume.Aliwachukia zaidi hasa alivyowaona pale kambini jinsi walivyokuwa wanawakamata wasichana wadogo kijijini na kwenda kuwabaka.Aliapa kuja kuwaua wanaume wote.Aliwachukia sana,aliamini wao ndio chanzo cha uovu uliokuwepo duniani.
...
Miaka miwili ikakatika mzee komba akaamua kuanza tena biashara yake.Aliamua kubalisha wafanyakazi wake wote,na hii ilisababishwa sana na tukio la shaaban,alihisi pengine wapo wengine ambao walikuwa wanatumiwa na serikali.
Aliwatumia hela al sha baab wamletee vijana watatu wa kazi na mlinzi mmoja.Ahmed kiongozi wa al shaabab ,alimuandalia vijana watatu pamoja na helena ambae alitakiwa aende akawe mlinzi wa mzee komba.Kutokana na ujasiri wake waliona helena ndi mtu pekee mqenye sifa za kumlinda mzee komba.Walimwambia helena ambae sasa walikuwa wanamuita Shujaa H.Helena aliwakubalia bila kinyongo kwani alikuwa na hamu kubwa ya kurudi tanzania kulipa kisasi.
Al sha baab waliwasiliana na mzee komba na kumpa sifa za helena ambao wao walikuwa wanamwita shujaa H. Mzee komba alitamani kumuona kutokana na jinsi walivyomsifia.
" huyu madam H kwa sifa zake itabidi awe mke kabisa.Atakuwa mlinzi wangu lakini pia nataka awe mke wangu." aliwaza mzee komba.
Inaendelea hapa chini
Sent using Jamii Forums mobile app