Ila wanawake wa Dar ni kiboko

Ila wanawake wa Dar ni kiboko

Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze. Anakusogezea kalio mpaka unatamani umuombe msamaha.

Hivi ni kwamba wanaume tunawindwa kwenye usafiri wa umma? furaha yenu wanawake ni kudungwa tu ama ndo kitega uchumi uchafuke udai hela?
Daaah. Umenikumbusha kipindi flani nimepanda zangu daladala enzi zile mwendo kasi bado hazijaanza foleni zilikuwa za kufa mtu. alipanda binti ni mrembo amejazia namba nane mapaja manene soft rangi maji ya kunde mtoto mlaini, umri wake kama miaka 22 hadi 24 hivi. akasimamia mbele yangu, kila gari nikienda alikuwa anajiachia free lance ananibambia. kadiri muda ulivyoenda nikaona huyu anafanya makusudi na Abdallah hakuchelewa kusimama. akawa anasikilizia kitu cha moto alaf ananiangalia kwa macho ya kurembua. nikajifanya kauzu. Wakati nashuka kituoni na yeye akawa anashuka, akanifuata akanisemesha kwa sauti laini yenye mahaba kama yote, "kaka samahani kwa usumbufu uliotokea, nahisi umeumia, ni shida ya usafiri." Nikafikiri kwanza kabla sijamjibu akili ikaniambia kimbia zinaa, nikaishia kumwambia usijali nikatokomea zangu. Najua mabaharia mtanilaumu sana
 
Daaah. Umenikumbusha kipindi flani nimepanda zangu daladala enzi zile mwendo kasi bado hazijaanza foleni zilikuwa za kufa mtu. alipanda binti ni mrembo amejazia namba nane mapaja manene soft rangi maji ya kunde mtoto mlaini, umri wake kama miaka 22 hadi 24 hivi. akasimamia mbele yangu, kila gari nikienda alikuwa anajiachia free lance ananibambia. kadiri muda ulivyoenda nikaona huyu anafanya makusudi na Abdallah hakuchelewa kusimama. akawa anasikilizia kitu cha moto alaf ananiangalia kwa macho ya kurembua. nikajifanya kauzu. Wakati nashuka kituoni na yeye akawa anashuka, akanifuata akanisemesha kwa sauti laini yenye mahaba kama yote, "kaka samahani kwa usumbufu uliotokea, nahisi umeumia, ni shida ya usafiri." Nikafikiri kwanza kabla sijamjibu akili ikaniambia kimbia zinaa, nikaishia kumwambia usijali nikatokomea zangu. Najua mabaharia mtanilaumu sana
Ww ni domo zege.
 
Alafu unakuta mtu mzima anakuja kutongoza Vitoto vya shule ya msingi daaah huwa na wamaindi sana

Hao unaosema wanajirahisisha ni kweli kabisa mkuu wala si uwongo.

Lakini pia mda mwingine ni uhaba wa wanaume wakamiaji kuwa mchache hapa africa na mashariki.

Mfano. Kabla mimi sijawa lock down nilikua kila nikitoka kazini nikifika pale morocco nakutana na wadada mbali mbali na nilivo mcheshi nilikua naongea nao sana kiasi ambacho kuna baadhi walikua wanatamani sana wajue nakaa wapi.

Sasa kuna huyu mmoja nikasema ngoja nikamkunje.
Kilichokuja kutokea akaniganda na sio kuniganda tu akaenda kusimulia na wenzake.

Nikasema its oky sasa shida iliyokuja kutokea ni kuwa hawa wenzake kila mmoja ananitafyta kwa mda wake akitaka huduma.

Nikiuliza shida nn. Hawasemi mmoja akaja kunambia ukweli wameambiwa hv na vile kuhusu ww na hiyo ndo sababu.

Sasa hapa nina kitabu ambacho tauza kwa bei ya chini kabisa kwa wenzangu wa jf..
Hiki kitabu ukija maduka yetu huku kinonondoni nauza 10000 ila leo ofa tauza kwa shillingi 5000 tuu.

Nimeona watu wengi wakinusumbua kuhusu kitabu nilichowauzia mwaka jana cha KUPATA UTAJIRI BILA KUVUJA JASHO (YAKUZ YAVUZ)
 
Wanawake wa Dar aisee hapanaaa. Siku hizi ni kama vile biashara imehamishiwa kwenye usafiri wa umma. Yaani unakutana na mwanamke kwenye usafiri wa umma ni kama vile amedhamiria umtongoze. Anakusogezea kalio mpaka unatamani umuombe msamaha.

Hivi ni kwamba wanaume tunawindwa kwenye usafiri wa umma? furaha yenu wanawake ni kudungwa tu ama ndo kitega uchumi uchafuke udai hela?
hela za kuwalipa zenyewe unazo sasa
 
Back
Top Bottom