Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 17,091
- 54,999
Sema mi ile kusema nimepitia magumu saaaana sijawahi hua ni zile tu changamoto na upungufu wa familia zetu za kitanzania, japo Kuna hyo Moja nlizinguaga home nkakimbilia mkoa mwngn, nlisota huko nlikoenda sio powa mwisho wa siku nlirudi mwenyewe!Kawaida mkuu n mapito
Tena nianze kuhangaika na mimi ndiyo mwenye muhamalamfate pm tu 😅
Ukiondoka bila baraka za wazazi utajirudi tuSema mi ile kusema nimepitia magumu saaaana sijawahi hua ni zile tu changamoto na upungufu wa familia zetu za kitanzania, japo Kuna hyo Moja nlizinguaga home nkakimbilia mkoa mwngn, nlisota huko nlikoenda sio powa mwisho wa siku nlirudi mwenyewe!
[emoji706][emoji706][emoji706]Sokoni yanatupwa yaloharibika. Ajichomoe betri ili akifika msibani aenjoy
DaaEmungu asante sijawai lala na njaa hata siku moja ila nimewah kukaa siku tatu nikishindia maganda ya miogo nilikuwa naenda kwa wachoma chips za viaz makaba kusanya maganda naenda kuosha nayakata upya tena kama kachumbali nayakula ndani ya siku tatu,, leo hy nikikumbuka najiona fala na hakuna kitu kwenye maisha yang nakisamin kama kula,
Ni kweli,ila angelitumia Sasa kupata kitu Cha kupooza njaaKwa maisha ya sasa hivi bundle ni sawa na damu mwilini
Tena nianze kuhangaika na mimi ndiyo mwenye muhamala
Au unawaona wako vizuri ila ulishawakopa na hujawalipa inabidi umeze mate na ku move on ku scrollKuna mda unaingia kwenye contacts una scroll kuanzia A mpaka Z una contacts karibia 200+ ila kila jina unaloliangalia huoni wakumuomba hiyo aftatu.
Shemeji...Atakuwa anatania bhana....Ina maana Hana rafiki ampe hata aftatu?
Sawa shemeji.Shemeji...
Ebu naomba unipe namba ya that manzi
Case closed.Shemeji...
Ebu naomba unipe namba ya that manzi
Dahmimi ni miongoni mwa wale mtu akinililia shida natoa nipate shida mimi sasa nikawalilie walionililia mweeee ni huzuni
I MISS THAT JF.Jf ya zamani ilikuwa very helpful, hata ukiwa na shida unasaidiwa.Hii ya sasa ina namna yake.
Pole kwa majukumu hapo.
Ukiwa na njaa tuta iba hata kuzimu, njaa mbaya nyie 🤣😃Kwamba niogope kusema Nina njaa,hapana...kwanza nikisema nitapata michango ya kutosha hapa hapa jukwaani..najua huwezi ninyima buku 10,Mr Deli Intelligent businessman hawezi ninyima buku5 Hapo Half american atanipa 20 yaani silali na njaa.
🤣🤣🤣Namwaminia,Intelligent businessman biashara yake ya vitumbua Hadi TRA wanamjua😂 usiogope dada mkubwa huyo Intelligent businessman atatoa laki
Wadanganye ma boya 🤣😃😃, jobless Mimi nitoe wapi hayo mapesa.😂 usiogope dada mkubwa huyo Intelligent businessman atatoa laki
Afu we ndo uta nichoma 🤣🤣🤣, mi jobless bhana 😃🤣🤣.🤣🤣🤣Namwaminia,Intelligent businessman biashara yake ya vitumbua Hadi TRA wanamjua
Kweli nusu albino Half american kata jirika 🤣🤣😃Ukiwa real mbona unasaidika vizuri kama ww tunamuachia jukumu Half american maana kapokea hela ya mchezo juzi😂 walikua wanatoa laki kwa wiki walianza mwezi wa sita
Wee mdada acha hizo, Ume lamba chumvi lini 🙄🤣😃.Bora ulipata maziwa ya kulamba
Wengine njaa zinauma unalamba chumvi na maji unalala