handsomezombie
JF-Expert Member
- Sep 27, 2018
- 302
- 438
kuna dokta moja anaitwa dokta ULIMBOKA
huyu daktari alipata kichapo kutoka kwa TISS
alipotibiwa na kurud toka SA . HAKUONGEA TENA.
kilikua kipindo cha JK
JERRY MURO
pia nae alijifanya anaijua kazi yake
ya HABARI vizuri
nae vivyo hivyo kichapo na kesi
takukuru juu...
nae KIMYAAA
Sasa napoona hapa oh jk hakua mkorofi napata shida kidogo
huyu daktari alipata kichapo kutoka kwa TISS
alipotibiwa na kurud toka SA . HAKUONGEA TENA.
kilikua kipindo cha JK
JERRY MURO
pia nae alijifanya anaijua kazi yake
ya HABARI vizuri
nae vivyo hivyo kichapo na kesi
takukuru juu...
nae KIMYAAA
Sasa napoona hapa oh jk hakua mkorofi napata shida kidogo