Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

kuna dokta moja anaitwa dokta ULIMBOKA
huyu daktari alipata kichapo kutoka kwa TISS
alipotibiwa na kurud toka SA . HAKUONGEA TENA.

kilikua kipindo cha JK

JERRY MURO
pia nae alijifanya anaijua kazi yake
ya HABARI vizuri
nae vivyo hivyo kichapo na kesi
takukuru juu...
nae KIMYAAA

Sasa napoona hapa oh jk hakua mkorofi napata shida kidogo
 
Kama neno upendo limebadilika maana yake basi labda tunampenda vingenevyo muda ulitujibu swali letu la zamani utajibu na hili jipya.
 
Huyu mstaafu kikwete anaturoga Sana ndio maana tunampenda, huo ndio ukweli haiwezekan unapenda tu.Nyie watanzania mnarogwa sana hamjui hata hii amani tuliyonayo, pia watu kushindwa kuandamana ukiweka mbali vitisho kurogwa napo kunachangia.


Ciao
 
Eeh si ndio nyie mlisema jk ni muuaji na ndio alisababisha askari wakaua kwenye maandamano ya chadema 2011 kule arusha?
Mkaenda mbali mkasema ndio alitoa amri ya kulipuliwa bomu kule olasiti?
Mkamsema kaua watu kwenye uchaguzi igunga?
Mkamsema kampandisha cheo askari aliyemuua mwangosi.
Mkamsema katuma watu kwenye kumpiga risasi na kumuua Dr.mvungi
Weweeee ni muongo hakuna shutuma kama hizo wakati wa utawala wa JK Pemba kwa muda wa miaka kumi hapajazikwa hata paka Achilia Binadamu
 
Hakuna mwanasiasa aliepigwa risasi hata moja kisa wametofautiana mitazamo sanasana aliwaita ikulu wakanywa chai na juice kuyamaliza kwa amani na upendo.
 
kuna dokta moja anaitwa dokta ULIMBOKA
huyu daktari alipata kichapo kutoka kwa TISS
alipotibiwa na kurud toka SA . HAKUONGEA TENA.

kilikua kipindo cha JK

JERRY MURO
pia nae alijifanya anaijua kazi yake
ya HABARI vizuri
nae vivyo hivyo kichapo na kesi
takukuru juu...
nae KIMYAAA

Sasa napoona hapa oh jk hakua mkorofi napata shida kidogo
Hao uliowataja sasa hivi wako hai. Ikitajwa list ya huyu wa sasa ya ambao either wamekufa au hawajulikani walipo ni aibu
 
Kuna rafiki yangu kanichekesha juzi amekosa mihogo ya kukaanga kisa mafuta yamepanda inachemshwa tu
Serious mzee....binafsi nilikosa sambusa za chai asubuhi...
Mama anadai kasitisha kwa mda mafuta tatizo....Fact
 
Back
Top Bottom