CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,915
- 3,475
Hivi mwangosi ilikuwa ni kipindi cha Rais gani?Nikikumbuka ya Dr Ulimboka naumia sana
Mauaji ya Soweto arusha hakutoa hata pole kwa wafiwa.
Hivi mwangosi ilikuwa ni kipindi cha Rais gani?Nikikumbuka ya Dr Ulimboka naumia sana
Umesahau Babu Seya na mwanaekuna dokta moja anaitwa dokta ULIMBOKA
huyu daktari alipata kichapo kutoka kwa TISS
alipotibiwa na kurud toka SA . HAKUONGEA TENA....
Walimwita Rais anaechekacheka anafuga mafisadi.Chadema walimwita dhaifu, eti sasa hivi wanampenda
Nakumbuka jamaa mmoja anaitwa Raila alialikwa hapo chattle akavundikwa wiki moja tu.Huyu mstaafu kikwete anaturoga Sana ndio maana tunampenda, huo ndio ukweli haiwezekan unapenda tu.Nyie watanzania mnarogwa sana hamjui hata hii amani tuliyonayo, pia watu kushindwa kuandamana ukiweka mbali vitisho kurogwa napo kunachangia.....
Soma somo la comparison na relativity,utapata maarifa fulani.Chadema walimwita dhaifu, eti sasa hivi wanampenda
Ndiyo mkome mlizoea vya chee,halafu sukari siyo basic needKweli bhana. Si unaona kwa Rais strong, kila anapoanza awamu vitu hupanda. Mfano sukari mwaka 2015 kabla hajaingia ilikuwa 1500/= leo inasoma 2800/= kwa kilo...
Anakuja Mwinyi wa pwani sisi hatuna tatizo na mtu ili mradi usichezee maslahi yetu tumuombeni awe raisi tena akiondoka huyu wa sasa.
Huyo huyo mze wa za kuambiwa changanya na za kwakoJK huyu huyu au mwingine!?
Kwanza katutambulisha wakwele tulikuwa hatujulikani, alafu katutoa aibu shule kwetu hatuna, Ila Katia saini ikulu.Anakuja Mwinyi wa pwani sisi hatuna tatizo na mtu ili mradi usichezee maslahi yetu tu
Mi-5 Tena [emoji16]Kuna rafiki yangu kanichekesha juzi amekosa mihogo ya kukaanga kisa mafuta yamepanda inachemshwa tu
[emoji16][emoji16]Alikuwa Raisi wa watu na sio Raisi wa vitu.
Jiwe Ni rais wa SG, Flyover, na barabara mle,mteseke,mpate maafa,msiajiriwe,msipandishwe mishahara,mtekwe,mchapwe viboko, halimuhusu.
Mungu amlinde hata haka kamshahara ninakopata kalifikia hapa wakati wa utawala wake. Chuo nilisoma kwa raha wakati wa utawala wake.! Mungu akulinde mh mstaafu.Mbona mimi simpendi kabisa. Ndie kiini cha kuleta hali hii kwa fitina zake kwa EL
Huyu Mzee Namshukulu Mnoo!!! Tulipata Ajira Kupitia Yeye!!!! Mungu Ambarik sana Jk....Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir.
Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana
Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii
Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.
Agiza pepsi hapo Naja pm kulipia!![emoji23]JK ktk ubora wake.
Kwa Tz kwangu ndiyo Rais bora kuliko wote niliowahi kuwaonaWanampenda kwasababu alikuwa rais dhaifu.
KabisaKwanza katutambulisha wakwele tulikuwa hatujulikani, alafu katutoa aibu shule kwetu hatuna, Ila Katia saini ikulu.