Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir.

Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana

Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii

Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.
Kuna muda huwa ninawashangaa Watanzania kwani kama kuna Rais ambaye aliiharibu Tanzania hii Kiuchumi na Kimaadili kwa 100% alikuwa JMK.
 
Mwandishi wa Habari MWANGOSI aliuawa yeye akiwa madarakani; Dr. Ulimboka nae alitekwa na wasiojulikana wakati wa mkwere!!!
Fake news
Wakati wa jakaya media ilikua huru sana hayo mambo tungesikia tu....
Kuna mambo ya uongo alikua anasingiziwa na aliyadharau tu
Anyways kama alivyosema yeye ninyi watu wengine mna chuki binafsi haswa ni Kwa sababu ya dini yake sasa hawezi kubadilishia dini ili umpende.......... utakufa na kesebu chako rohoni
 
Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir.

Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana

Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii

Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.


Kama yeye anapendwa nani anayechukiwa??!
 
Jk alikua mjanja ndio, Alijua kukaa vizuri na wafanyabiashara wakubwa mpaka wachuuzi na hela zilinwangika kila mahali, Ngoma nzito iko kwa mkandarasi kila kada kuna namna ambavyo imebanwa.
 
JK aliulizwa na Bod Geldof kwa nini Tanzania ni masikini, akasema hajui kwa nini Tanzania ni masikini.
 
Eeh si ndio nyie mlisema jk ni muuaji na ndio alisababisha askari wakaua kwenye maandamano ya chadema 2011 kule arusha?
Mkaenda mbali mkasema ndio alitoa amri ya kulipuliwa bomu kule olasiti?
Mkamsema kaua watu kwenye uchaguzi igunga?
Mkamsema kampandisha cheo askari aliyemuua mwangosi.
Mkamsema katuma watu kwenye kumpiga risasi na kumuua Dr.mvungi
Acha fitina, unasema 'nyie" kwani hii thread imeandikwa na watu wangapi?
 
kiukweli hua nafikiria sana kama nisingepata ajira enzi za huyu mzee wetu kipenzi sijui ingekuwaje???
Hilo unaloliwaza mkuu nam!! Naliwaza hlo hlo...... Alaf ni late 15's...kuja 2016....daah cijui ningekua wap sahv!!!!
 
Back
Top Bottom