Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

Kila mtu anaudhaifu wake lakini hakua katili wala muuaji
Alikua Rais mwenye Baraka tele na watanzania tulikua tuna Hali nzuri kiuchumi
Sisi (watumishi wa afya) ulikuwa unaingia kazini na begi limejaa dripu, dawa, vifaa tiba, nk na kujigeuza machinga...unamaliza shift una mijihela hadi kero, ukitoka kazini bodaboda anapata, muuza genge, mama wa grocery, nyumba mdogo, familia umejaza watoto hadi wa binamu na wengi above 18 wanakula tu!
(Usijibu comment hii kama hukuelewa ujumbe uliojificha)
 
Kila mtu anaudhaifu wake lakini hakua katili wala muuaji
Alikua Rais mwenye Baraka tele na watanzania tulikua tuna Hali nzuri kiuchumi
na hii ndio iliwapa watu kiburi watu walikua na pesa nyingi wakawa wanajiona na wao wakubwa wakasahau kuwa jipu halizidi nywele hata livimbe vipi au nasema uongo ndugu zanguuuuu
 
kuna dokta moja anaitwa dokta ULIMBOKA
huyu daktari alipata kichapo kutoka kwa TISS
alipotibiwa na kurud toka SA . HAKUONGEA TENA.
juu ya kilichomkuta

kilikua kipindi cha JK

JERRY MURO
pia nae alijifanya anaijua kazi yake
ya HABARI vizuri
nae vivyo hivyo kichapo na kesi
takukuru juu...
nae KIMYAAA

Sasa napoona hapa oh jk hakua mkorofi napata shida kidogo
ivi mwinyi nae alishawahi kufanya mambo ya ajabu
 
Fake news
Wakati wa jakaya media ilikua huru sana hayo mambo tungesikia tu....
Kuna mambo ya uongo alikua anasingiziwa na aliyadharau tu
Anyways kama alivyosema yeye ninyi watu wengine mna chuki binafsi haswa ni Kwa sababu ya dini yake sasa hawezi kubadilishia dini ili umpende.......... utakufa na kesebu chako rohoni

Je hayo ya wakina Mwangosi na Ulimboka yalipotokea yeye hakuwa madarakani? Mkwere ni mjanja wa kukwepa uwajibikaji na ndio maana hata kashfa ile ya RICHMOND, yeye alihusika lakini akambebesha zigo Lowassa!!
Usilete mambo ya dini , uislam wa Al Haj Jakaya unaingia wapi hapo? Mbona hamsemi mambo ya dini anaposifiwa bali pale anapokosolewa tu?
 
Wapinzani walimdharau na kumuita dhaifu, alikuwa hajali maendeleo ya nchi kwani kila kukicha alikuwa safarini tu kula raha na machangu wake, aliwachukulia wasanii wa bongo fleva kuwa viongozi wa nchi na kuwaalika Ikulu kunywa chai huku nchi ikimshinda. Watu haswa marais majirani walimshangaa sana kwa kuwa dhaifu, aliacha milango wazi kwa wauza unga (madawa ya kulevya) kwa vijana wengi hapa Bongo kwa sababu mwanaye pia alikuwa kigogo wa hiyo biashara. Wababaishaji hapa mjini ndiyo walionekana wajanja kutokana na utapeli wao huku yeye akiwachekea tu, mapolisi walikuwa majambazi na yeye alijuwa akawa anawachekea tu. Kikwete anapendwa sana na watu wapuuzi, sidhani kama kuna mtanzania mwenye akili timamu anampenda Kikwete na ndiyo maana alisita kidogo kujibu hili swali anadhani nini watanzania wanampenda because hata yeye mwenyewe anajuwa kuwa hapendwi na watu wenye akili timamu na waonao mbali.
 
Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir.

Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana

Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii

Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.
Yule profesa ujue
 
Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir.

Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana

Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii

Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.
Mtu M-bad.
 
Back
Top Bottom