Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,561
- 16,339
Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir.
Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana
Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii
Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.
Salama: Kwanini watu wanakupenda sana.
JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana
Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda
JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii
Ila JK wewe sawa tu leo hujui kua watanzania tunakupenda kweli? Ila sisi tutaendelea kukupenda tuu mzee wetu.
