Ila JF bwana!

Ila JF bwana!

Kuna mwamba kauliza jana "hivi wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"

Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nne😂

Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi

Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc

Ila JF hahah, anyway maisha yaendeelee😂
Kwa hiyo,unashauri Nini?
 
Nilichokigundua humu Kuna team tatu

1. Wavamia nyuzi kukoment Hawa asilimia kubwa si wa kuwaamini ni wababishaji much know haswa wanaonifanya Kila kitu wanakijua ni wataalam wa kukosoa Kila jambo

.2. wapeda ku like na kupita kimya
Hawa wanalike either comments zitakazokuwa zimewavutia ama wengine watalike kuonesha sapoti wamepita

3. Wapita kimya kimya
Hawa wapi wengi wapita kimya watasoma nyuzi kmya kmya wateendelea na mambo yao.. Hawa baadhi yao wakivutiwa na mada ama komenti Yako watakuzamia pm kukuomba ufafanuzi ama maelekezo

Humu kumejaa Kila aina ya watu. Kuna mashoga, matapeli vibaka, watu wema, matajiri, jobless, majambazi, wasiojulikana, slay queens, gold diggers n.k so take care mazee
Binti Sayuni03 kama nakuona vile upo siti ya nyuma kulee, ona kulee umevaa gauni la pink kwenye kundi namba 1 na birika lako kubwa la chai unasubiri tu kutugawia
🙂
 
This is JF, usiamini Kila kitu nyingi humu ni chai ila Jambo kubwa ni kwamba kwenye hizo chai kuna mambo mengi na mazuri Sana ya kujifunza hivyo ni vyema kuchukua unaloona linafaa hata kama limetoka kwenye chai wewe ukalitumia kwenye uhalisia kusonga mbele.
 
Back
Top Bottom