Ila baba nae anakaa mbali sana na mama yetu, mbona ma first lady huwa wanakuwa close!?

Status
Not open for further replies.
Mkuu Mganguzi, hakuna ibara yoyote ya Katiba yetu inayomtaka Rais/mgombea wa Urais awe na mke/mume. Maoni yangu juu ya hoja yako ni inawezekana kuna masuala ya kiimani au kifamilia katika jambo hilo. Tuheshimu mambo yalivyo. Ni hayo tu mkuu
Mkuu, nadhani tusirahishe hili suala. Uongozi wa Nchi haufulii mbali mila na desturi Mahalia. Tunao mfano hai. Yesu ambaye alikuwa ni Mungu hakujitenga na Mila na Desturi za Kiyahudi ambazo zilikuwa ni Nzuri. Kwa hapa Tanzania, kuanzia Mwalimu Nyerere mpaka marehemu Magufuli wote walikuwa na wake zao wanaojulikana. Na hata huyu Siku ya kuapishwa tulionyeshwa huyo anaitwa mumewe. Nadhani lengo lilikuwa ni kutuonyesha kuwa sio mdangaji. Kwa hiyo, usibeze hoja hiyo.
 
Hata hivyo ndo sifa ya mwanaume kiafrika kufuatana fuatana na mkeo kila anakoenda ni ngumu mtakua pamoja kwenye maeneo muhimu ambayo yana ulazima uwepo !! Mzee Baba akimuhitaji mkewe anajua jinsi ya kumpata !! Sasa kila ziara mnaongozana aseee si kituko hicho !!
Tabia za Marioo hizo kuongozana kila mnakoenda !
Huenda anaambiwa sana waongozane , ila wanaume wa kiafrica tulivyo wabishi.
Au pia mzee baba ana mambo yake ,huenda biashara zinamweka busy sana .
 
"Hili nalo suala la Baba yenu nimeagiza,msilitizame sana wanangu"
 
"Ukipewa kazi ya nchi,lazima hujiheshimu,siyo unaishi kihunihuni"-Mwalimu Nyerere!
 
As longer as mama yetu kwa baba sio mke pekee wapo wake wenza wenzake ndo maana baba hana shobo sana per diem inasoma huku yupo na bi wadogo. Mama mwenyewe alishasema hawezi mjali baba kiivo kwani akina baba wana miji mingi alipotoka ashashiba.
 
As longer as mama yetu kwa baba sio mke pekee wapo wake wenza wenzake ndo maana baba hana shobo sana per diem inasoma huku yupo na bi wadogo. Mama mwenyewe alishasema hawezi mjali baba kiivo kwani akina baba wana miji mingi alipotoka ashashiba.
Shauri yake mpaka amalize miaka kumi itakuwa homon zimeshuka atakuja kujutia muda huu ndio ulikuwa haswaa muda sahihi yaani lala salama shauri yake yy ashoboke na cheo asahau kwamba homoni zinapungua Kwa sababu ya age yeye
 
Mama yetu Yuko poa sana Kwa Sasa . Mcheshi ,mpole na ana chapa kazi kweli kweli. ila Sasa baba yetu haijulikani kapotelea wapi. . Misafara kama hii ya ziara za mikoani ilitakiwa baba anakuwa closed na mama! Si mnaijua baridi ya njombe? au ni namna gani wajameni .! Mama anakwenda , congo , marekani, ubelgiji, Kenya.

Kwanini aende peke yake? Au sheria inambeba first lady pekee? Maana ma first lady wanafanya mpaka ziara, wanatambulishwa Kila Mahali, mbona kama sisi wanaume tunaonewa ikifika zamu yetu? Au ndio ubaguzi .kumbuka mama Salma na mama janeth walivyokuwa wanaupiga mwingi. .Kwanini first gentleman mfumo haumbebi?

Naona sisi wanaume tunabaguliwa haiwezekani . Mama yetu bado mdogo na pia hata angekuwa Mzee hawezi kujitenga na baba Kwa sababu ya madaraka!!!! Ndoa lazima iheshimiwe . ,watu wa protocol, mkalisheni chini mama yetu msimuogope ,.Katiba yetu inataka Rais wa kiume awe na mke !

Na vivyo hivyo akitokea Rais mwanamke awe na mume. .mwambieni mara Moja Moja basi awe anasafiri nae .au anabana matumizi? Mh Sasa mbona anasafiri na mawaziri ? Hapana bwana kuna jambo haliko sawa .watafutwe wazee wa hekima wamuweke chini huyu mama yetu tunapenda couple iwe still alive! Nb,,hapa nazungumzia mama yetu malkia Elizabeth wa uingeleza msije mkaninukuu vibaya
Mama mwenyewe alisema unanipea mbegu 2 mambo mengne nafanya mwenyewe....sasa kwa kauli ile ulitegemea nini? Pale alipo na ukizingatia wanawake wa kiafrica hawa wanajiona wabeijing usitegemee afuatane nae... Pale anatamani hata asingefahamiana kabla na uyo mwanaume
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom