tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Sep 9, 2011 #1 Mwenyekiti wa tume ni Rostam. Sababu haina mzawa wa Tz unaalikwa kuomba kuwa mjumbe, Link hiyo hapo chini.Karibuni
Mwenyekiti wa tume ni Rostam. Sababu haina mzawa wa Tz unaalikwa kuomba kuwa mjumbe, Link hiyo hapo chini.Karibuni
bi mkora JF-Expert Member Jun 1, 2011 259 113 Sep 9, 2011 #2 tz1 said: Mwenyekiti wa tume ni Rostam. Sababu haina mzawa wa Tz unaalikwa kuomba kuwa mjumbe Click to expand... Bajeti yake ni sh.ngapi??
tz1 said: Mwenyekiti wa tume ni Rostam. Sababu haina mzawa wa Tz unaalikwa kuomba kuwa mjumbe Click to expand... Bajeti yake ni sh.ngapi??
tz1 JF-Expert Member Mar 19, 2011 2,121 534 Sep 10, 2011 Thread starter #3 bi mkora said: Bajeti yake ni sh.ngapi?? Click to expand... Mkuu bajeti yake ni utakacho taka utapata,na utapewa ubunge wa viti maalumu
bi mkora said: Bajeti yake ni sh.ngapi?? Click to expand... Mkuu bajeti yake ni utakacho taka utapata,na utapewa ubunge wa viti maalumu
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,604 Sep 10, 2011 #5 Pesa nyengine za walala hoi hizooooo! Tanzania inashindwa kuchunguza kashfa zake za ndani, iweje waichunguze wikleaks? Ghrrrrrrrrr!
Pesa nyengine za walala hoi hizooooo! Tanzania inashindwa kuchunguza kashfa zake za ndani, iweje waichunguze wikleaks? Ghrrrrrrrrr!
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Sep 10, 2011 #7 Babkey said: Kuna suti!? Click to expand... <br /> <br /> ASEE TUME ZINAWAFAIDISHA SNA HAO WANA TUME LOOL I WISH NINGECHAGULIWA SKUMOJA! AF NI DANGANYA TOOOTO TU,,!
Babkey said: Kuna suti!? Click to expand... <br /> <br /> ASEE TUME ZINAWAFAIDISHA SNA HAO WANA TUME LOOL I WISH NINGECHAGULIWA SKUMOJA! AF NI DANGANYA TOOOTO TU,,!