jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Huwa sishughulishwi na vitu visivyo na tija,fuatilia hilo bandiko unalolisema kama utakuta mchango wangu,kurugenzi ya mawasiliano ikulu haina maana yoyote kwangu,hivyo siwezi kupoteza muda wangu kujadili jambo lisilo la msingi.
Ikulu iache kujidharirisha,ikulu gani inajibizana na mamitandao
mambo ya msingi kama kuajiri maDAS na maDED bila kufuata taratibu,hawajibu.Kuhusu VAT kwenye miamala hawajawahi kujibuYote haya yanasababishwa na wenye vyeti bandia waliotinga pale, elimu mwendo kasi vinginevyo haiwezekani kila siku ni madudu tu ndani ya Ikulu na masahihisho kila kukicha.
...eeh, sasa mbona unajadili hili!
mambo ya msingi kama kuajiri maDAS na maDED bila kufuata taratibu,hawajibu.Kuhusu VAT kwenye miamala hawajawahi kujibu
Kuna kikundi cha watu wahuni kazi yake ni kutunga vitu vya uwongo kila siku. Hiyo habari toka ilivyowekwa humu jana wengine tulijua kabisa kuwa ni uzushi.
TCRA fanyeni kazi yenu kukamata wazushi.
Niliamini nilipo isoma kwenye mitandao Jana!! Kumbe ni kutunga tu kwa watu. Viva Ikulu kwa ukweli.
Nakubaliana na wewe Mkuu. Watu wazushi sanaKuna kikundi cha watu wahuni kazi yake ni kutunga vitu vya uwongo kila siku. Hiyo habari toka ilivyowekwa humu jana wengine tulijua kabisa kuwa ni uzushi.
TCRA fanyeni kazi yenu kukamata wazushi.
Safi sana aiseee! Nilishtuka sana nilipoona taarifa ile imetolewa usiku wa manane.
Kwakuwa hajatajwa Makufuli kwahiyo Polisi hawana muda wa kumkamata aliyetunga uongo huu?Safi sana aiseee! Nilishtuka sana nilipoona taarifa ile imetolewa usiku wa manane.
sheria ya mtandao mbona haifanyi kazi wajameni
Sijui ua upi uliofunguliwa.
Kuna kikundi cha watu wahuni kazi yake ni kutunga vitu vya uwongo kila siku. Hiyo habari toka ilivyowekwa humu jana wengine tulijua kabisa kuwa ni uzushi.
TCRA fanyeni kazi yenu kukamata wazushi.