Ikulu yakanusha uteuzi wa Jerry Muro

Ikulu yakanusha uteuzi wa Jerry Muro

.....mmoja kati ya wale waliokuwa wanatapika povu asubuhi!😀😀😀😀



Huwa sishughulishwi na vitu visivyo na tija,fuatilia hilo bandiko unalolisema kama utakuta mchango wangu,kurugenzi ya mawasiliano ikulu haina maana yoyote kwangu,hivyo siwezi kupoteza muda wangu kujadili jambo lisilo la msingi.
 
Hiki kitengo cha kutunga uongo cha chadema kwa nini wasikamtwe?
Kila siku kutunga uongo na kupotosha kila aina ya habari
 
Uzee ni tunu,kama wewe unauchukia uzee basi utakuwa na matatizo,lakini sishangazwi na hili ulilolisema,unasimamia msimamo wa chama chako cha majipu kinachowaona wazee kama watu wanaosubiri kufa.

Umeona vijana wenzio wakimtusi Mzee Mtei kwa kumsifia Magufuli?
 
Vijana wa ki-Tz ni mburura sana! Unaona walivyompeperushia huyu RAIA hiyo nafasi? Inakuwaje unaleta kwenye mitandao ya kijamii habari ambazo bado hazijathibitishwa? Kuna kijamaa kinaitwa Gentamycin kinastahili kupigwa ban ya muda mrefu!
 
Kweli kuna tofauti kati ya ikulu ya zaman na ikulu ya sasa.good job ndugu, G.Msigwa,kamwe usiache uongo uenee maana ukienea sana utaaminiwa na wengi.
 
Hata hivyo atapewa kitengo si muda, kama zari Lilivyomdondoke
 
Lakini source si ilionyesha ni udaku? Udaku hauaminiki hasa ukihusisha matukio kama ya Muro kusimamishwa na TFF
 
Jamani...hizi haziwezi kuwa ni gymnastics za Gerson Msigwa katika kumkumbusha mkulu kuwa amechelewa kumthibitisha? 😀😀😀Naona anakaimu kwa muda sasa!

Kila la heri Gerson.
 
Back
Top Bottom