Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

Tatizo hawa jamaa wameshindwa mapema sana kuweka sawa mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja katika maisha yao ya kila siku wamekalia politiki na ubabe mwingi huku mtaani bei ndio inazidi kupaa kila kukicha.
 
Kwani yako wapi makontena yalokamatwa.? Wapi magodauni yalobainika kuficha sukari, tuliona kwa kideo yamekamatwa na tukaahidiwa kugaiwa bure....😉
Kweli Kabisa yale makontena yako wapi na mbwebwe zote zile na hasa Makonda, duu Tanzaniaaaaa
 
Tatizo hawa jamaa wameshindwa mapema sana kuweka sawa mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja katika maisha yao ya kila siku wamekalia politiki na ubabe mwingi huku mtaani bei ndio inazidi kupaa kila kukicha.
Ni kweli kabisa unashangaa watu wanajitoa ufahamu kusifia kila anachofanya huyu Baba Jesca bila kuangalia athari zake
 
Kweli Kabisa yale makontena yako wapi na mbwebwe zote zile na hasa Makonda, duu Tanzaniaaaaa
Yale makontena yatakuwa yalipotea maajabu hapo yapo tanzania tuu
 
Back
Top Bottom