Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

Bila katiba mpya itakayo mpunguzia Rais madaraka na kumwekea mipaka huyu bwana atatupeleka shimoni bila kutegemea.
 
Inasemekana mkulu mwenyewe anasaga pp machungwa kwaajili ya sukari ha ha ha
 
Alitoa promo akapata hits za kutosha....akanogewa. Badala ya kukamilisha wimbo karukia kutambulisha vibwagizo vya nyimbo nyingine nyingi tu....ya mwisho ni ya barabara ya kuelekea kwa Mzee wa pale Ubungo Riverside........
 
Kuisoma namba tutaisoma wote. Walikuwa wanashangilia Baba Jesca ndo wanaisoma namba vizuri
Inasemekana mkulu mwenyewe anasaga pp machungwa kwaajili ya sukari ha ha ha
 
Kwani yako wapi makontena yalokamatwa.? Wapi magodauni yalobainika kuficha sukari, tuliona kwa kideo yamekamatwa na tukaahidiwa kugaiwa bure....😉
Yale yalikuwa ni maigizo na kutafuta sifa za kijinga tu. Mtu anunue bidhaa halali kwa fedha zake halafu wewe uje uchukue ugawe bure. Hawa wanaojiita vioongozi wanadharau sana na kutuona sisi wananchi hatuna akili kabisa
 
Nimecheka sana lin
kwa kweli
watuambie tamu yetu iko wapi
juzi nimeuziwa sukari nyeupe kama chumvi
hadi vijiko kumi kwenye kikombe ndio chai inanyweka
 
CCM NI ILE ILE siku zote nashangaa hao wanajitoa ufahamu wa kuitetea wanatoa wapi ujasiri ?
 
Back
Top Bottom