Nimeona mkuu!! na subil iyo tar 8 iyo bajet kuu kiroja gan kitatokea kwenye iyi bajet yaoHali ni mbaya sana kila mahali juzi kampuni inayolipa kodi kubwa kuliko kampuni zote TBL walikuwa wanalalamika mauzo yao kushuka 40%
Hili bomu la sukari halijakaa vizuri. Mbwembwe zooote za Majaliwa na kutuaminisha koote kwamba hakutakuwa na shida ya sukari na hili tatizo litakwisha kabla ya Mfungo zimeishia hewani!
WANA JF HESHIMA KWENU WOTE
Kwa muda sasa kumekuwa na tatizo la sukari kutopatikana maeneo mengi kutokana uamuzi wa serikali kuzuia vibali vya kuagiza sukari bila kujipanga.
Mwenzi uliopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa tani 11,957 ambazo serikali imeagiza zilikuwa zimeshawasili na kwamba hiyo sukari ingeuzwa kwa bei elekezi kilo 1800. Kuhusu tani zingine 240000 za sukari zingewasili ijumaa mei 13 na hadi zitoke bandarini ingekuwa jumapili na usambazaji ungefanya mei 16.
Pia tuliambiwa tani 20000 zingewasili mwisho wa mwenzi uliopita au mwanzoni mwenzi huu. Mpaka sasa hakuna dalili yoyote ya kupatikana sukari kwa maeneo mengi nchini.Uamuzi wa kuzuia sukari kuagizwa nchi ulifanywa kwa kukurupuka bila kujipanga.
Kwenye kujadili hili swala la sukari tunatakiwa kuweka itikadi za vyama pembeni ni swala la muhimu sana watu wanateseka kutokana watu kufanya maamuzi ya kukurupuka bila kujipanga.
Tunataka kujua Sukari iliyoagizwa na Serikali iko wapi?
Arusha sukari kilo 3500 bado hapatikani[/QUOTE]Hapa mwembe
Dodoma jana nimenunua kg35 000 nikajiuliza sana! Alaf kabla kuuziwa kwanza unaangaliwa uson then ndo anakuuzia yana kama unaziwa madawa ya kulevya[/QUOTE]Arusha sukari kilo 3500 bado hapatikani
Wagawe bure yao wakanunue yao ndo wagawe bureKwani yako wapi makontena yalokamatwa.? Wapi magodauni yalobainika kuficha sukari, tuliona kwa kideo yamekamatwa na tukaahidiwa kugaiwa bure....😉
Sukari imeshakuwa dili kilo unaweza kununua hata 5000Bahati nzuri mie nina shamba langu la miwa,,,,deile nakata miwa kama miwili hivi,,,,natwanga napata juis saaafi,,,,,,,,wala sipati taabu tena.
Eti, kwani sukari shilingi ngapi sasa........???????!!!!!😉😉😉😛😛😛😛
Ile sukari tuliambiwa ipo mbagala baadaye iligundulika sukari aliyekuwa nayo alikuwa na vibali vyake halali .Endeleeni kusubiri mtapewa bure ha haKwani yako wapi makontena yalokamatwa.? Wapi magodauni yalobainika kuficha sukari, tuliona kwa kideo yamekamatwa na tukaahidiwa kugaiwa bure....😉
Sukari imeshakuwa dili kilo unaweza kununua hata 5000
Da! Afadhil ww mkuu ss na huu mfungo sijui itakuaje yan apa nataka ni bebe asal kwa wingi toSukari imeshakuwa dili kilo unaweza kununua hata 5000
Alisema tutamkumbuka na kwell tuna mmiss sasaNa kama sarakasi hizi zikizidi kuendelae tutakumbuka sana kule msoga