Mkuu usipate presha.
Wanavyomsema ni uthibitisho huyu mzee alikuwa HATARI. imagine watu bado wanapambana na Marehemu, wanakomaza shingo utafikiri yupo hai.Magufuli alikuwa tishio aise!! Wa wanabwabwaja wakubwa kwa wadogo hadi mate yanawatoka kumbe mzee wetu ameshakwisha pumzika my dear dah
May his soul continue resting in eternal peace.