Ndege ya Diamond Platnumz aliyosema kanunua iko wapi?

Kichuchunge

JF-Expert Member
Dec 2, 2020
338
891
Mwezi Septemba mwaka jana CEO wa lebo ya WCB na mwimbaji wa Bongofleva, Diamond Platnumz akiongea na DW Africa alithibitisha kununua ndege binafsi (private jet) kwa lengo la kile alichoita ni kuongeza thamani yake.

Baada ya kauli hiyo, Diamond akasifiwa sana na kuelezwa kwamba angekuwa msanii wa kwanza kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kumiliki ndege yake.

Tulisikia mengi, sifa kem kem kutoka kwa wapambe wake wakiwemo akina Baba Levo ambao walisema kwamba si tu kwamba bosi wao huyo ana mpango wa kutaka kununua hiyo ndege, bali tayari amekwishainunua ila tu bado kuwasili kwa vile inamaliziwa.

Kuanzia wakati huo tunaona kimya. Tumesubiri kwa mwaka mzima lakini kimya hadi sasa. Hiyo ndege iko wapi jamani au imeishakuja kinyemela?
 
Unafkir kumiliki ndege ni sawa na kumiliki FEKON au TVS?

1> Vibali
2>Airworthiness Costs
3>Rubani tu kumlipa ni ishu nyingine
4>Kuiweka kwenye HANGAR ni ishu nyingine
5>Ikiruka kuna charges
6>Ikitua kuna charges
7>kuna charges za services provider mfano ATC ktk ishu za Aeronautical services.
8> Insurance cost
9>Fuel
10>Crew management costs

Yaan kumiliki ndege sio sawa na kumiliki FEKON au BAJAJ
 
Mwezi Septemba mwaka jana CEO wa lebo ya WCB na mwimbaji wa Bongofleva, Diamond Platnumz akiongea na DW Africa alithibitisha kununua ndege binafsi (private jet) kwa lengo la kile alichoita ni kuongeza thamani yake.

Baada ya kauli hiyo, Diamond akasifiwa sana na kuelezwa kwamba angekuwa msanii wa kwanza kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kumiliki ndege yake.

Tulisikia mengi, sifa kem kem kutoka kwa wapambe wake wakiwemo akina Baba Levo ambao walisema kwamba si tu kwamba bosi wao huyo ana mpango wa kutaka kununua hiyo ndege, bali tayari amekwishainunua ila tu bado kuwasili kwa vile inamaliziwa.

Kuanzia wakati huo tunaona kimya. Tumesubiri kwa mwaka mzima lakini kimya hadi sasa. Hiyo ndege iko wapi jamani au imeishakuja kinyemela?
Huwajui ccm wewe?
 
Mwezi Septemba mwaka jana CEO wa lebo ya WCB na mwimbaji wa Bongofleva, Diamond Platnumz akiongea na DW Africa alithibitisha kununua ndege binafsi (private jet) kwa lengo la kile alichoita ni kuongeza thamani yake.

Baada ya kauli hiyo, Diamond akasifiwa sana na kuelezwa kwamba angekuwa msanii wa kwanza kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kumiliki ndege yake.

Tulisikia mengi, sifa kem kem kutoka kwa wapambe wake wakiwemo akina Baba Levo ambao walisema kwamba si tu kwamba bosi wao huyo ana mpango wa kutaka kununua hiyo ndege, bali tayari amekwishainunua ila tu bado kuwasili kwa vile inamaliziwa.

Kuanzia wakati huo tunaona kimya. Tumesubiri kwa mwaka mzima lakini kimya hadi sasa. Hiyo ndege iko wapi jamani au imeishakuja kinyemela?
Achana na wasanii
 
Unafkir kumiliki ndege ni sawa na kumiliki FEKON au TVS?

1> Vibali
2>Airworthiness Costs
3>Rubani tu kumlipa ni ishu nyingine
4>Kuiweka kwenye HANGAR ni ishu nyingine
5>Ikiruka kuna charges
6>Ikitua kuna charges
7>kuna charges za services provider mfano ATC ktk ishu za Aeronautical services.
8> Insurance cost
9>Fuel
10>Crew management costs

Yaan kumiliki ndege sio sawa na kumiliki FEKON au BAJAJ
Maelezo yako hayajajibu swali la mtoa mada.kwasababu mtu hawezi kununua ndege akashindwa kulipia hivyo vitu.
 
Unafkir kumiliki ndege ni sawa na kumiliki FEKON au TVS?

1> Vibali
2>Airworthiness Costs
3>Rubani tu kumlipa ni ishu nyingine
4>Kuiweka kwenye HANGAR ni ishu nyingine
5>Ikiruka kuna charges
6>Ikitua kuna charges
7>kuna charges za services provider mfano ATC ktk ishu za Aeronautical services.
8> Insurance cost
9>Fuel
10>Crew management costs

Yaan kumiliki ndege sio sawa na kumiliki FEKON au BAJAJ
Kuna Member Anaitwa Sijui Sinza Najua Yupo Hoi
 
Back
Top Bottom