MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
" Rais Dkt. Magufuli alikuwa ni Yesu wa duniani na nadhani hata Yesu Mwenyewe angekuwepo angemfurahia na Kuona kuwa kapata Mrithi wake kutoka Tanzania "
" Rais Dkt. Magufuli hukupenda kwenda nchi za Mabeberu Ulaya na Marekani ila China alienda "
" Rais Dkt. Magufuli ndiyo alikuwa Rais pekee Kupenda Kukosolewa kuliko wote waliopita "
" Rais Dkt. Magufuli ndiyo Rais pekee ambaye katika Uongozi wake hujawahi Kusikia Kumetokea Matukio makubwa na ya Kutisha kama Tawala zilizopita "
" Rais Dkt. Magufuli ndiyo kasababisha Kiwango cha Elimu Kuongezeka kwa Kasi nchini Tanzania pamoja na Vyuo Vikuu "
" Rais Dkt. Magufuli ametujengea Uwanja mkubwa wa Michezo huko Dodoma kama ambavyo Mzee Mkapa nae alitujengea huu wa Dar es Salaam "
" Rais Dkt. Magufuli amefanya Mambo makubwa kuliko hata yaliyofanywa na Watangulizi wake akina Hayati Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na Mzee Kikwete "
Televisions Kubwa za Tanzania kuanzia TBC1, ITV, Channel Ten, Clouds Tv na Star Tv lizingatieni mno hili na kama mtakuwa mnawapima Kwanza Akili hao mnaowaalika Studioni Kwenu itapendeza zaidi kwani kuna wengine tumeshachoka sasa Kuvumilia Uwongo na Unafiki wao.
Na ieleweke kuwa All - Rounder siyo kwamba labda nakataa kuwa Marehemu hakuna alichofanya au hastahili Sifa la hasha hata Mimi nimeona Utendaji wake mzuri na wa Kiuthubutu wa Kuijenga Tanzania na Kutekeleza Miradi yenye Umuhimu, ila sipendi tu Chumvi na Sukari nyingi zinavyozidishwa katika Kumzungumzia Mambo ambayo ama hayapo au aliyashindwa Kiutendaji.
" Rais Dkt. Magufuli hukupenda kwenda nchi za Mabeberu Ulaya na Marekani ila China alienda "
" Rais Dkt. Magufuli ndiyo alikuwa Rais pekee Kupenda Kukosolewa kuliko wote waliopita "
" Rais Dkt. Magufuli ndiyo Rais pekee ambaye katika Uongozi wake hujawahi Kusikia Kumetokea Matukio makubwa na ya Kutisha kama Tawala zilizopita "
" Rais Dkt. Magufuli ndiyo kasababisha Kiwango cha Elimu Kuongezeka kwa Kasi nchini Tanzania pamoja na Vyuo Vikuu "
" Rais Dkt. Magufuli ametujengea Uwanja mkubwa wa Michezo huko Dodoma kama ambavyo Mzee Mkapa nae alitujengea huu wa Dar es Salaam "
" Rais Dkt. Magufuli amefanya Mambo makubwa kuliko hata yaliyofanywa na Watangulizi wake akina Hayati Nyerere, Mzee Mwinyi, Hayati Mkapa na Mzee Kikwete "
Televisions Kubwa za Tanzania kuanzia TBC1, ITV, Channel Ten, Clouds Tv na Star Tv lizingatieni mno hili na kama mtakuwa mnawapima Kwanza Akili hao mnaowaalika Studioni Kwenu itapendeza zaidi kwani kuna wengine tumeshachoka sasa Kuvumilia Uwongo na Unafiki wao.
Na ieleweke kuwa All - Rounder siyo kwamba labda nakataa kuwa Marehemu hakuna alichofanya au hastahili Sifa la hasha hata Mimi nimeona Utendaji wake mzuri na wa Kiuthubutu wa Kuijenga Tanzania na Kutekeleza Miradi yenye Umuhimu, ila sipendi tu Chumvi na Sukari nyingi zinavyozidishwa katika Kumzungumzia Mambo ambayo ama hayapo au aliyashindwa Kiutendaji.