Umevuta bangi yawapi Mkuu!!!Hivi kama baba na mama hawakubahatika kupata mtoto, Mimi nitaweza kupata mtoto?
...Ninatatizika na swala hilo wakuu!
Hahahahahahamkuu hebu acha upumbavu basi aaaarggh!
Kwa akili zake atakujibu Kigoma.Ok na wewe ulitokea wapi mkuu kama hawakubahatika mtoto.
Yaulize makorodani yako
Inawezekana baba yako alikua na upungufu wa nguvu za kiume ndio maana hakupata mtoto, ila mi nakuhakikishia ukipata mwanaume rijali lazima upate mtoto.Hivi kama baba na mama hawakubahatika kupata mtoto, Mimi nitaweza kupata mtoto?
...Ninatatizika na swala hilo wakuu!