Ikiwa Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya Kongamano la Katiba Mpya, wengine wameshikiliwa kwa kosa gani?

Uongo wa polisi ni wa kitoto sana, hii mbinu ya kuwapa watu mashtaka ya uongo ni ya kizamani sana, naamini Mbowe ataendelea kuwa jasiri asieyumbishwa kama kawaida yake.
Inavyoonekana ni mkakati wa mwendazake na TISS uliokuwa mezani wa kudeal na wapinzani baada ya uchaguzi kwisha, sasa mama anautekeleza tu, maana kulikuwepo na taarifa kuwa lisu walitaka kumpa kesi ya uhaini.
 
Mbona wewe the real and only Mwamba alipokufa ulifurahi? Acha nasi tufurahie jamaa kuwa lupango. Huu ni mpango wa mungu kuadhibu wote waliofurahia masiha JPM kufariki. Wahi kupeleka chakula cha jioni lupango usije ukaachika bure
unaweza kuweka ushahidi hapa wa mimi kufurahia kufa kwa Magufuli ?
 
Polisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.

Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.

Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?

Hivi mama samia alipompa salamu za pole juzi ina maana alikuwa ana mpa pole gaidi?hapa ndio nashindwa kuelewa
 
Hapana sio Katiba Polisi wamesema Mbowe Gaidi kwa Sabaya mlisema polisi wanatenda haki na DPP Safi anaupiga mwingi kwa Mbowe mnasema kaonewa sasa jamani polisi ni wale wale hawajabadilika tuwasifie Kama kwa Sabaya.
 
Hapana sio Katiba Polisi wamesema Mbowe Gaidi kwa Sabaya mlisema polisi wanatenda haki na DPP Safi anaupiga mwingi kwa Mbowe mnasema kaonewa sasa jamani polisi ni wale wale hawajabadilika tuwasifie Kama kwa Sabaya.
kwa uzoefu wako hapa jf unapaswa kujikita kwenye hoja
 
Inavyoonekana ni mkakati wa mwendazake na TISS uliokuwa mezani wa kudeal na wapinzani baada ya uchaguzi kwisha, sasa mama anautekeleza tu, maana kulikuwepo na taarifa kuwa lisu walitaka kumpa kesi ya uhaini.
majeda yako kzn ukiona jeda analia jua kuna jambo yatasafisha wajuaji woote
 
Polisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.

Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.

Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?

MiBavicha na michadema imewekwa kwenye kona lenye joto na inahaha kwa mhaho. Mechi ndio imeanza mnakabiwa juu...
 
Back
Top Bottom