Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,811
- 218,468
Sasa ni dhahiri kwamba Watanzania wanataka Katiba Mpya na wala hakuna tena wa kuzuia , Umati uliohudhuria Kongamano linaloendelea Moshi Mjini muda huu ni balaa kubwa , kwa kusema ukweli kongamano hili laweza kuvunja rekodi ya makongamano ya namna hii yaliyowahi kufanyika Nchini Tanzania .
Kwa Wageni na wengine wanaotaka kuhudhuria , kongamano linafanyika kwenye Ukumbi wa Kisasa wa KILI EAST MJOHORONI .
Wote mnakaribishwa .
Mungu ibariki Chadema .
Kwa Wageni na wengine wanaotaka kuhudhuria , kongamano linafanyika kwenye Ukumbi wa Kisasa wa KILI EAST MJOHORONI .
Wote mnakaribishwa .
Mungu ibariki Chadema .