Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
- Thread starter
- #21
hujui kitu weweWakati wao wako Mwanza- Mbowe yuko Dar es Salaam. You see the difference- don't you?
hujui kitu weweWakati wao wako Mwanza- Mbowe yuko Dar es Salaam. You see the difference- don't you?
Ilipangwa auawe , walibishana sana na hatimaye wakakubaliana wampachike ugaidiMwamba akichomoka hapa polisi
Sasa watamfungulia kesi IPI hii ndo yamwisho kabisa kwa MBOWE
Nyingne zote aliwashinda labda itatumika bunduki
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Mungu ibariki CHADEMAPolisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.
Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.
Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?
Peleka uji wewe acha mbwembwe za JFPolisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.
Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.
Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?
Sasa unategemea angepewa kesi ipi ilhali hakuna kesi ya kumtuhumu mtu kufanya kongamano.Kesi ya ugaidi ni kesi ya kisiasa ?
AminaMungu ibariki CHADEMA
Wote wanaompangia njama Mbowe watakufa kama kuku wa kideri , Shetani hajawahi kushindaPeleka uji wewe acha mbwembwe za JF
Tatizo ni elimu elimuPolisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.
Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.
Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?
Kwani baba yake mdogo alikuwa akimpinga? Peleka uji lupango la sivyo utaachikaWote wanaompangia njama Mbowe watakufa kama kuku wa kideri , Shetani hajawahi kushinda
Endelea kuchekelea maovuKwani baba yake mdogo alikuwa akimpinga? Peleka uji lupango la sivyo utaachika
Imekula kwenuhujui kitu wewe
Nisaidie elimu ya mh Mbowe ni ya level ipi?Shule ni muhimu sana bahati mbaya watu walioenda shule hawapo ndani ya jeshi la polisi na waliopo ni wale elimu yao ya kuunga unga
Vidiploma na degree za jioni na hii inaenda kwenye serikali nzima ukifatilia fresh from school ndani ya serikali hawafiki hata 10% walio kazini.
Wengi wao ni wale waliingia kipindi cha mwinyi na mkapa kwa elimu ya kuunga unga na vyeo vya kubandikana.
Yaani kiufupi hatuna uongozi nchi hii hata Rais Magufuli elimu yake ilikuwa na mashaka.
Samia elimu yake ni za kuunga unga tu
Ndio maana tumezalisha siasa za ovyo sana sababu ya kutokuwa na watu sahihi kwenye uongozi.
Watu wenye uelewa wa mambo na elimu ya kutosha isio na mashaka wapi benchi ila wajinga wajinga kama Mwigulu wapo eti wizara ya fedha.
Kazi kweli kweliPolisi Tanzania, nadhani kwa sasa ndio Taasisi inayotia aibu zaidi duniani, Walimkamata Mbowe na wenzake kwa kuandaa kongamano la Katiba mpya, mitaa yote ya Mwanza walimwagwa polisi na hotel kulikopangwa kufanyika kongamano hilo ikiwekwa chini ya Ulinzi mkali kuanzia ndani hadi nje na kuzungushiwa utepe wa hatari.
Viongozi kadhaa walidakwa na kupelekwa rumande hadi dakika hii (Dunia nzima inajua), sasa leo wanakuja na ngonjera za kiwango cha chini kwamba Mh Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya kongamano hilo , bali alikamatwa kwa tuhuma za ugaidi na kupanga njama za kuua viongozi wa serikali.
Sasa swali ni hili: Wale wengine waliokamatwa sambamba na Mbowe walikamatwa kwa sababu zipi?
that'sTULIPOFIKA PAMOJA NA KWAMBA TUMEVUKA KIKWAZO KUJUA WAPI ALIPO MBOWE,ILA SASA PAMOJA NA MIKAKATI MINGINE KUHAKIKISHA WOTE WANAACHIWA, NA SI KWA OMBI BALI LAZIMA, ITOSHE SASA
1. Kuwatangaza CCM WOTE bila kujali mtu anacheo gani ndani ya CCM na washirika wao wote katika kutenda maovu Kama adui no moja wa taifa Hili, na isemwe bila kupepesa macho, na KWA mantiki Iyo marafiki zangu mlio katika ushirika huu mnikome,futa namber sitaki mawasiliano na nyie, binasfi nifutilia mbali manamber yenu, tusikalibishane kwenye Mambo yenu, iwe kwenye shida au raha, Sitaki,
2. Kitendo Cha Mwenyekiti Taifa tuumiwa na UGAIDI, maana yake wapenzi na wafuasi wa CHADEMA TZ sote ni MAGAIDI , so hatutakiwi kuona Cha kupoteza bali ni lazima hakikisha Mwenyekiti anaachiwa akaungane na sie au Kama vipi wote TWENDE tukapate mateso na kifungo Cha UGAIDI, maana Mpaka mda huu , no one is safe , soon neno Gaidi litatoka KWA mtu mmoja kwenda KWA mwingine
3. Jeshi letu la polis , limeamua kukaa upande mmoja wa WATU na Sio katikati ya haki ndani ya taifa, ni vyema Sasa iwe Mbowe amefungwa au la , KUTOWAPA USHIRIKIANO WOWOTE, MPAKA FAMILIA ZAO , Ndugu zao maana tunaishi nao, Mpaka pale watakapo ACHA aya mambo ya ajabu , na kuomba radhi watanzania ,
MWISHO , MBOWE SIO GAIDI, NA NILAZIMA KUMUACHIA, WALA SIO OMBI, SERIKALI ONEVU IMEKOSA KIBALI CHA MUNGU KUONGOZA TAIFA,
Jinga lingine hili hapayaweza kuwa Mbowe alipanga mauaji ya Tundu Lisu ngoja tuone
Mbona wewe the real and only Mwamba alipokufa ulifurahi? Acha nasi tufurahie jamaa kuwa lupango. Huu ni mpango wa mungu kuadhibu wote waliofurahia masiha JPM kufariki. Wahi kupeleka chakula cha jioni lupango usije ukaachika bureEndelea kuchekelea maovu