Ikiwa leo ni hukumu ya Mbowe na wenzake, anatukumbusha mwandishi huyu wa 1980

Leo ni maamuzi ya nusu kesi, na kulingana na umuhimu wa rulling ya leo kama maelezo ya washtakiwa mahakama ikubali kuyatumia kwenye kesi, maelezo hayo yatakuwa na umuhimu mkubwa kuonesha ni upande upi utakuwa mshindi siku ya hukumu ya mwisho.

Kama yatakubaliwa, jamhuri watakuwa kwenye nafasi nzuri; japo binafsi siamini kama hili linawezekana kulingana na mazingira yaliyogubika zoezi zima kuanzia kuwakamata watuhumiwa mpaka kuchukua maelezo toka kwa washtakiwa, palikuwa na matendo mengi yaliyokiuka sheria na haki za binadamu kwa ujumla.

Endapo yatakataliwa na mahakama, upande wa washtakiwa watakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushinda kesi siku ya mwisho, hili litasababishwa na upande wa jamhuri kupoteza moja ya ushahidi wao muhimu kwenye kesi husika.

Kukubaliwa na mahakama au kutokubaliwa kwa vielelezo vya leo kuna nafasi kubwa kwenye kuamua kama hukumu ya mwisho itakuwa ya haki, au isiyo ya haki.
Na ushahidi pekee walio nao upande wa Jamhuri ni hayo maelezo yanayobishaniwa, yakikataliwa hamna kesi tena,DPP ataamua tu kuiondoa kesi mahakamani.
 
Mkuu the Big Eagle , kwanza asante kwa kutukumbusha "Mwandishi Huyu wa 1980s", kitendo cha kutomtaja ni mwandishi gani, wa wapi na maneno hayo aliyaandika wapi, sio tuu unakuwa hujawatendea haki wasomaji, bali unakuwa hukitendei haki, chombo chetu cha utoaji haki kwa ku insinuate kuwa uamuzi umeisha fanyika hivyo hii kesi ni kesi tuu ya kubambikiza kuhalalisha, kitu ambacho sio kweli na sio kitu kizuri.

Maandishi yoyote yaliyoandikwa na kuwa printed, hii ni kazí ya mtu, inaitwa, literacy work, hivyo kazí zote za uandishi, maandishi, zinalindwa na sheria ya copy right law, mtu huwezi kujichukulia tuu na kutumia bila idhini ya mhusika, ukitumia au uki quote sehemu kazi ya maandishi yoyote bila idhini ya publisher ni wizi tuu wa plagialism na unachukuliwa kama mwizi mwingine yoyote.

Namna ya kutumia kazí ya maandishi yoyote kwa nia njema bila kuonekana mwizi ni kwa kutoa kitu kinachoitwa accreditation, unatoa credits ya kule uliko yachukua hayo maandishi.

Hivyo na wewe leo umefanya wizi wa plagiarisim, wewe ni plagialist, ume plagialize andishi kutoka ukurasa wa 163, kwenye kitabu cha Summons - Poems from Tanzania , kilichochapishwa na Tanzania Publishing House (TPH) ya Dar Es Salam, mpaka 1980.

Acha wizi!
P
wizi ni noma sana, Mayala (Njaa) umeamua KUMWAGA MBOGA... AHAAAAAAA
 
Mkuu the Big Eagle , kwanza asante kwa kutukumbusha "Mwandishi Huyu wa 1980s", kitendo cha kutomtaja ni mwandishi gani, wa wapi na maneno hayo aliyaandika wapi, sio tuu unakuwa hujawatendea haki wasomaji, bali unakuwa hukitendei haki, chombo chetu cha utoaji haki kwa ku insinuate kuwa uamuzi umeisha fanyika hivyo hii kesi ni kesi tuu ya kubambikiza kuhalalisha, kitu ambacho sio kweli na sio kitu kizuri.

Maandishi yoyote yaliyoandikwa na kuwa printed, hii ni kazí ya mtu, inaitwa, literacy work, hivyo kazí zote za uandishi, maandishi, zinalindwa na sheria ya copy right law, mtu huwezi kujichukulia tuu na kutumia bila idhini ya mhusika, ukitumia au uki quote sehemu kazi ya maandishi yoyote bila idhini ya publisher ni wizi tuu wa plagialism na unachukuliwa kama mwizi mwingine yoyote.

Namna ya kutumia kazí ya maandishi yoyote kwa nia njema bila kuonekana mwizi ni kwa kutoa kitu kinachoitwa accreditation, unatoa credits ya kule uliko yachukua hayo maandishi.

Hivyo na wewe leo umefanya wizi wa plagiarisim, wewe ni plagialist, ume plagialize andishi kutoka ukurasa wa 163, kwenye kitabu cha Summons - Poems from Tanzania , kilichochapishwa na Tanzania Publishing House (TPH) ya Dar Es Salam, mpaka 1980.

Acha wizi!
P
Ebu tuelimishane met wangu,wakati tunafanya disertation/reseach tulikuwa tuna quote na kufanya reference za waandishi wengine kwa mantiki hiyo tulikuwa tunaiba au just plagialize.
 
Ebu tuelimishane met wangu,wakati tunafanya disertation/reseach tulikuwa tuna quote na kufanya reference za waandishi wengine kwa mantiki hiyo tulikuwa tunaiba au just plagialize.
Mkuu máte katitu , kwanza tukumbushana ni mate wa enzi zipi?. Pili asante kuzungumzia wizi wa literacy work kwenye disertations, watu wanaongoza kwa plagialism na ku plagialize ni wasomi kwenye research and disertation za vyuo vikuu, ndio maana tuna baadhi ya wasomi hadi Ph.D level lakini they don't deliver to march their intelligence, hata bungeni si tuna waona!, kuna baadhi ya wasomi wetu, hata darasa la saba ni afadhali, niliwahi kushauri, Kijaji, Mhe. Livingstone Lusinde na Mhe. Joseph Kasheku Musukuma ambao ni darasa la saba, wapewe Ph.D.

Ukiisha fanya refference inakuwa sio wizi tena.

Nchi za wenzetu wanatumia a specific computer program to detect plagialism, mwana jf mwenzetu mtu wa IT, akaichukua Ph.D thesis ya jamaa mmoja, akaitumia kuipima, majibu akayamwaga humu jf, kilichofuatia naomba tusikizungumze humu maana..., yaani wabongo wana plagialize hadi Ph.D thesis!.
P
 

The trial​



Finally,
The judge will take his place
And the accused,
The complainant
And the onlookers:
All will know where to be - and
Justice will be meted out
Even before the trial.
Umeandika kitabu kizima.

Mwenye akili anaelewa.

Subiri waje kukuchambua wewe badala ya kuchambua mada
 
Back
Top Bottom