Ikitokea Rais mwanamke, itakuwaje katika haya?

Ikitokea Rais mwanamke, itakuwaje katika haya?

Wataalamu,

Naomba kueleweshwa kwa jambo hili, ikitokea nchi yetu tukapata rais mwanamke, je mume atakuwa anaogozana na mke wake? Na kama ni mfanyakazi ataacha kazi ili kuwa karibu na rais?

Nimeuliza kwa nia ya kueleweshwa maana hapa ndani kuna wataalamu wazuri wa mambo mbalimbali.

Nawasilisha kwenu wakuu.
Watu mnaona mbali sana
 
Jiulize na wewe, kwani Rais wa kiume huwa anaambatana kila mahali ma mkewe?. Kumbuka Rais ni hadhi na cheo cha juu katika Taifa na siyo jinsia..
 
Utabiri gani...janja tu..

Watu wanajua mengi sana hapa chini ya jua!....

Message sent ile !
 
Back
Top Bottom